Mwanamke Akishaamua Kukuacha, Yamekwisha

Mwanamke Akishaamua Kukuacha, Yamekwisha

Na wenzio walisema hivyohivyo sasa hivi wapo humu kuandika nyuzi za kuomba ushaurii

Nasemaje kichaa anachekesha akiwa hatokei kwenu… omba lisikukute
Halafu ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu
Kama hujawai kuumizwa na mahusiano mpk ukatamani uingie chini ya ardhi trust me zamu yako itafika… na Kama ulishaumizwa basi hutoumizwa tena yakakuuma kama ya mwanzo
Biblia inasema “Upendo una nguvu kuliko mauti” usiwacheke wenzio ukawaona wapumbavu kulilia mahusiano

Watu wapo wengi ila hutompata kama huyo awe alikuwa mbaya ama mzurii
Ninyi ndo huwa mnakunywa sumu eti sitampata kama huyo kwamba yeye alikuwa nayo ya bluetooth ina connect hata ukiwa mita 100?
 
Back in days chuoni.
Demu fulani alinizimikia sana na me nilimzimikia sana penzi likawa moto sanaa, khaa miezi 7 baadae ananiambia anaona tuachane, namuuliza kwanini ananiambia haoni future kwangu. Ule ule muda nikamwambia sawa nimekuelewa,,nakumbuka ilikuwa majira ya saa mbili usiku nikarudi zangu hostel, nikaenda kuoga nikarudi kitandani cha kwanza nilifuta namba yake afu na kila aina ya kumbukumbu yake kwenye simu, nikalala lakini usingizi unagoma hautaki kabisa ni mawazo tu, usingizi unakuja kukubali saa 10 usiku huko toka saa tatu. Siku mpaka siku nikaanza kurecover taratibu baada ya miezi mi3 nikakaa sawa. Fara yule si kuna siku akanitafuta ananiambia nimsamehe , anahisi hakuwa yeye aliyesema maneno yake anahisi alirogwa. Nikamkaribisha upya moyoni nikampa nafasi ya kicheche tu this time yeye ndie alikoma mzee.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Good Job
 
Dah imenigusa sana, mwezi wa kumi huu nambembeleza arud nyumban tuendelee na ndoa hanielew, juzi nusu nife kwa ulevi uliopindukia kisa yey dah so sad, nmeshndwa kuendelea bila yeye nachakaa yeye akipendeza 😪😪😪, miaka 7 mahusiano, 5 kwenye ndoa dah
Acha ufala, utakufa bure halafu yete ndio kwanza anaolewa kwa harusi.
Wanawaka wazuri wamejaa, asikupenda muone kama gari la mkaa tu.
Jipende, simama upya, tuliza akili utapata mrembo na mwema zaidi yake
 
Back
Top Bottom