Mwanamke Akishaamua Kukuacha, Yamekwisha

Ninyi ndo huwa mnakunywa sumu eti sitampata kama huyo kwamba yeye alikuwa nayo ya bluetooth ina connect hata ukiwa mita 100?
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Good Job
 
Acha ufala, utakufa bure halafu yete ndio kwanza anaolewa kwa harusi.
Wanawaka wazuri wamejaa, asikupenda muone kama gari la mkaa tu.
Jipende, simama upya, tuliza akili utapata mrembo na mwema zaidi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…