Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika na unachokisema mkuu?
Atakua alitamani kunywa maji
Daaa,Siku yakwanza kuingia mjini niliambiwa ukisikia usiku nje kuna aina yeyote ya ugomvi usitoke nje usithubutu
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Ndio nimeelewa ili kupeleka kituoni kama ushahidi/kidhibiti walutakiwa na wao wapeleke kama alivyokuwaMkuu polisi hawakumfunika, wao wamebeba tayaria akiwa tayari amestiriwa na majirani, soma kirefu.
Kuna mtu anajiita waziri wa home matters anajidadavua kuwa crimes zimedhibitiwa
Hoja ni vibaka si ugomvi wa ndani ya nyumbaKwani wewe unaelewaje hapo? Hivi wewe Sasa ukiamua kumuua mkeo au mjomba wako, Polisi watakuzuiaje. Na haitamaanisha kuwa hawajadhibiti matukio makubwa ya kupangwa na kushirikishwa mitandao au vikundi.