Mwanamke alia baada ya kupiganishwa na mwanaume olympics #Paris2024

Mwanamke alia baada ya kupiganishwa na mwanaume olympics #Paris2024

Hata kama angekuwa ni mwanaume kweli(mfano), kwani sikuhizi hatuamini katika ile notion yetu?

"Anachokifanya mwanaume, mwanaumke anaweza kukifanya kwa ubora zaidi"

Au hii inazingatiwa kwenye issue laini laini tu.?
 
Hata kama angekuwa ni mwanaume kweli(mfano), kwani sikuhizi hatuamini katika ile notion yetu?

"Anachokifanya mwanaume, mwanaumke anaweza kukifanya kwa ubora zaidi"

Au hii inazingatiwa kwenye issue laini laini tu.?
😂😂😂😂😂 Ukiangakia zile sekunde 46 ni moto kast year mwanamke alipasuliwa jicho
 
Ila sio haki hii
Screenshot_20240801_170228_Instagram~2.png
 
Back
Top Bottom