Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si waliamua wacheze michezo yakiume tumeamua kuwafata hukohuko...🤣Sasa alivyobuild up is not easy mwanamke awe hivyo huyo dada kala ngumi nzito sana
Hakuna wanawake wenye msuli/ nguvu kuliko hata wanaume?Sasa alivyobuild up is not easy mwanamke awe hivyo huyo dada kala ngumi nzito sana
Nimekupa elimu sijam-judge huyo dada ..kilaza wewe.Mbona sasa haueleweki na umekuwa kigeugeu?? Je, tatizo ni nini, Jinsia au level ya testerone ya huyo Imene?????
Mpaka kalia sio poaDaah, hizo ngumi itakuwa zilikua zinauma dunia nzima daah'
😂😂😂😂😂 Ukiangakia zile sekunde 46 ni moto kast year mwanamke alipasuliwa jichoHata kama angekuwa ni mwanaume kweli(mfano), kwani sikuhizi hatuamini katika ile notion yetu?
"Anachokifanya mwanaume, mwanaumke anaweza kukifanya kwa ubora zaidi"
Au hii inazingatiwa kwenye issue laini laini tu.?
1 over 100 typical body builders Usa at mostHakuna wanawake wenye msuli/ nguvu kuliko hata wanaume?
It is not fair hadi tjr wlon musk kaamua tu aongeesi waliamua wacheze michezo yakiume tumeamua kuwafata hukohuko...🤣
Huyo ndo 1 kwenye 100 sssa1 over 100 typical body builders Usa at most
Wamejaribu kumvua chupi wakaangalia?
Wtf? Upinde mpo mpaka huku? Kama hauoni tatizo hapo basi hautakiwa kuwa hai. Embu kufa aisee.Huyo aliyetoa madai hayo ndiye anayepaswa kuthibitisha Madai yake kwamba Imene ni Mwanaume na wala siyo Mwanamke.
"He who alleges must prove."
Dah😁😁Kumvua chupi haitoshi mkuu, Siku hizi wanapandikiza kipapa