John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Kwa nini hakulalamika kabla ya pambano??Wtf? Upinde mpo mpaka huku? Kama hauoni tatizo hapo basi hautakiwa kuwa hai. Embu kufa aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini hakulalamika kabla ya pambano??Wtf? Upinde mpo mpaka huku? Kama hauoni tatizo hapo basi hautakiwa kuwa hai. Embu kufa aisee.
Ni wa kiumeeeHuyo ni wa kike kabisa, tatizo mazoezi yanawakomaza sana misuli.
Ni sheria tu inaruhusuKwa nini hakulalamika kabla ya pambano??
Duuu Kala kisago cha kwenda mpaka akahisi hio ni ngumi ya kidume na bado wanataka haki sawa na wanaumeLeo katika olympics mwanamke Angela Carini amelia baada ya kupigwa K.O ndani ya sekunde 46 na mwanaume anayejitambulisha kama mwanamke Imene khelif.
Pichani.
View attachment 3058769
View attachment 3058770View attachment 3058771
Hata hivyo shirikisho la michezo la Algeria limekataa kama Imene ni mwanaume na kwamba sheria ya nchi hairuhusu Transgender Tangia 1966 huku wakitupia picha yaa Imene hfiwa mdogo pichani.
View attachment 3058772
Je nini Tafakari yako juu ya hili jambo Imene mwanamke au mwanaume.
Kauli yake sasaSi haki sawa, atulie tu 🤣😂
Mwanaume ni Yente. Miaka ile akina Serena na mdogo wake wanakuja juu kwenye tennis wakasema wanaweza kumshinda mwanaume yoyote anayeshika nafasi ya. 200 kwenda juu.Kwani ngumi ya mwanaume ni nzito sana
Huna cha kujiteteaKwa nini alikubali kuanza pambano? Kama angeshinda angegoma?
Ndo huyo muitaliano analalamikaKuna pambano nimeona huyo imane khelif (Kidumeshoga) kampa kichapo cha mbwa mwizi mwanamke hadi huruma
Alafu mtu anasema kawaida
They support diff gendersKauli yake sasa
“I have never been hit so hard in my life. It’s up to the IOC to judge.”
Ni mwanaumeDuuu Kala kisago cha kwenda mpaka akahisi hio ni ngumi ya kidume na bado wanataka haki sawa na wanaume
We mcheki vizuriHuyo ni wa kike kabisa, tatizo mazoezi yanawakomaza sana misuli.
Wanasema ana chromosome za xy nyingiBasi huyo aliyempiga mwenzake avue nguo hadharani watu wathibitishe