Mwanamke alikuwa chanzo cha mimi kunywa pombe

Mwanamke alikuwa chanzo cha mimi kunywa pombe

okiwira

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2018
Posts
2,856
Reaction score
3,003
Habari wana jukwa hili pendwa.

Bila shaka hapa ni sehemu sahihi moja wapo yakupunguzia sumu za kifkra zinazowaua wanaume wengi.

Twende katika kusudio..

Nilikutana na binti mmoja toka Ruvuma mpole na muda wote Tabasamu kwa mbali.

Mwanaume nikamweleza lengo baada ya kufahamiana kiasi chake kwamba natafuta mke.
Mtoto Cheupe hakusita sana
akakubali tukaoana.

Baadaye tukapata mtoto wa kiume tukaanza kumlea.

Wakati huo nilikuwa na rafiki yangu wa kushauliana katika pilika za maisha.

Ila jamaa alikuwa anasifika vibaya kwa kuchapa mademu.
Na wife alikuwa anaonesha kuchukia Mimi kuwa na rafiki wa aina hiyo.

Baadaye nikaja tonywa kua rafiki yangu amemchapa wife sikuwa na kukurupuka.

Siku NNE mbele nikamuuliza wife kwa upole na huruma juu ya yeye kukunjwa na rafiki yangu.
Akaanza kulia na akanambia ni kweli amekunjwa nikacheka sana.
Nikamuuliza naomba sababu moja tu ya kumfuata rafiki yangu.
Akanijibu alitaka tu kujua kwanini wanawake wengi wanamfuata na wakati huo wanajua ni Malaya.
Khaaa!nilipatwa na hasira mwishowe nikashusha pumzi kama namediteti.
Sijamuuliza chochote mpaka leo hii nina mwaka sasa jioni ikifika napiga zangu tungi ili nikimwona nizidi kuamini hakuna chochote kilichotokea.

Sikuwahi kufikili kugeuza pombe kuwa kiburudisho changu.
Sio majirani wala ndugu zake hata ndugu zangu wanamuamini kwa upole wake lolote likitokea wanahisi mimi ndiye chanzo.

Bado binafsi nampenda azidi kuwa mama wa familia yangu ila kila nikimcheki namuona kama Silence Killer.
Jamaa urafiki ulivunjika na kahama mkoa.

Ntarudi kesho weitaaaa ongeza kabapa kadogo.

Ni taarifa tu msiwahukumu wanywa pombe.
 
Sielewi chuki dhidi yake ilikuwa ya nini Mkuu.

Kwamba (Ila jamaa alikuwa anasifika vibaya kwa kuchapa mademu.
Na wife alikuwa anaonesha kuchukia Mimi kuwa na rafiki wa aina hiyo.)





Afu badae wife aka liwa na mtu anae mchukia ,,[emoji41]pole sana
 
Hao ndo wanawake na huyp ndo mchizi ambaye anaweza kuchoreka km muhuni, ila kwa akili za wanawake, bado watajilengesha ili kujua yaliyomo[emoji3]

Pole kamanda..... Ila pole kwa ufala wako ukidhani kunywa pombe ndo umetatua tatizo.


Mimi Hata nikiwa nmezaa naye watoto watatu , ATAKAPONISALITI nkajua,LAZIMA YEYE +NGUO ZAKE+ELIMU NA MAKOROKORO YAKE ,AJIBEBE AENDE UKO ANAKOTAKA KWENDA KWASABABU MACHON MWANGU SITOTAKA NIONE SURA YAKE HATA KAMA ATAOMBA MSAMAHA ANALIA CHOZI LA DAMU.

Unajua kwann??? Mwanamke akishakuchepukia,, 100% uwezekano wa ww kufa au kuyumba ni mkubwa, SASA BINAFSI KAMOYO KANGU NAKAPENDA NA SITOKUA TAYAR KUBEBA MSALABA WA MTU MZIMA.
 
Mkuu nasikia hii kitu uleta laana katika maisha kwani Mungu muda wote huwa amekunja ndita dhidi ya mla na mliwa.
Mle tu rinda hako kajamaa Wenda moyo wako utatulia
 
Shost alicheat na mzungu kazini kwao, kama huyo wako alitaka kujua ladha ya nyeupe. Wenye nia njema walimfahamisha mumewe. Shost alikataa katakata.
Mume alikuja na mistari, mimi na wewe ni mwili mmoja tusifichane. Ndipo alipolainika akafunguka
Tangu afunguke, ndoa yake haina afya njema. Mume anaweza kurudi asubuhi anamwambia nilikuwa ninatest kitu kipya
 
Samahani wangoni.

Ila wanaongoza kwa kula wake za marafiki zao.


Tusiwaamini hawa marafiki zetu hasa tuliowafanya ndugu. Tunajisahau nankuwaona ndugunzetu.

Juzi mmoja kanipiga ila sio masuala ya mapenzi.
 
Shost alicheat na mzungu kazini kwao, kama huyo wako alitaka kujua ladha ya nyeupe. Wenye nia njema walimfahamisha mumewe. Shost alikataa katakata.
Mume alikuja na mistari, mimi na wewe ni mwili mmoja tusifichane. Ndipo alipolainika akafunguka
Tangu afunguke, ndoa yake haina afya njema. Mume anaweza kurudi asubuhi anamwambia nilikuwa ninatest kitu kipya

Mwanamke akisaliti na ukajua huna haja ya kumsamehe anatakiwa aende
 
Shost alicheat na mzungu kazini kwao, kama huyo wako alitaka kujua ladha ya nyeupe. Wenye nia njema walimfahamisha mumewe. Shost alikataa katakata.
Mume alikuja na mistari, mimi na wewe ni mwili mmoja tusifichane. Ndipo alipolainika akafunguka
Tangu afunguke, ndoa yake haina afya njema. Mume anaweza kurudi asubuhi anamwambia nilikuwa ninatest kitu kipya
Yale Yale. Unamkuta mwanamke anamwelezea boyfriend wake "nilishawahi kutoa mimba" ili iweje?
 
Shost alicheat na mzungu kazini kwao, kama huyo wako alitaka kujua ladha ya nyeupe. Wenye nia njema walimfahamisha mumewe. Shost alikataa katakata.
Mume alikuja na mistari, mimi na wewe ni mwili mmoja tusifichane. Ndipo alipolainika akafunguka
Tangu afunguke, ndoa yake haina afya njema. Mume anaweza kurudi asubuhi anamwambia nilikuwa ninatest kitu kipya
Haya mambo ni magumu sana.
 
Shost alicheat na mzungu kazini kwao, kama huyo wako alitaka kujua ladha ya nyeupe. Wenye nia njema walimfahamisha mumewe. Shost alikataa katakata.
Mume alikuja na mistari, mimi na wewe ni mwili mmoja tusifichane. Ndipo alipolainika akafunguka
Tangu afunguke, ndoa yake haina afya njema. Mume anaweza kurudi asubuhi anamwambia nilikuwa ninatest kitu kipya
Haa ha ha...akiona mchina atatest piaa
 
Back
Top Bottom