Mwanamke alikuwa chanzo cha mimi kunywa pombe

Mwanamke alikuwa chanzo cha mimi kunywa pombe

Hao ndo wanawake na huyp ndo mchizi ambaye anaweza kuchoreka km muhuni, ila kwa akili za wanawake, bado watajilengesha ili kujua yaliyomo[emoji3]

Pole kamanda..... Ila pole kwa ufala wako ukidhani kunywa pombe ndo umetatua tatizo.


Mimi Hata nikiwa nmezaa naye watoto watatu , ATAKAPONISALITI nkajua,LAZIMA YEYE +NGUO ZAKE+ELIMU NA MAKOROKORO YAKE ,AJIBEBE AENDE UKO ANAKOTAKA KWENDA KWASABABU MACHON MWANGU SITOTAKA NIONE SURA YAKE HATA KAMA ATAOMBA MSAMAHA ANALIA CHOZI LA DAMU.

Unajua kwann??? Mwanamke akishakuchepukia,, 100% uwezekano wa ww kufa au kuyumba ni mkubwa, SASA BINAFSI KAMOYO KANGU NAKAPENDA NA SITOKUA TAYAR KUBEBA MSALABA WA MTU MZIMA.
Nowdays, ladies are able to differentiate between feelings and emotions. So hutakufa Carlos. Maisha yamebadilika. Tofauti kati ya me na ke inaendelea kupungua
 
Kamanda kikosi fanya kama katiba yetu inavyosema. Embu fanya kama umemeza vidonge vya kuongeza confidence. Jilipue askari wangu. Ndio chamce zenyewe hizo
100% nisahihi kabisaaaaaaaa ...yan nisawa na dame umtoe bikra, ataanza kutaman sexy balaaaaa.



Mkuu nipo Daladala pemben yupo Demu mkaliiiiiiii balaaa . Nmebak mdomo waz
 
Mimi ndiyo maana nacheat kila nikipata chansi kwakua kazi yangu ni kulipiza visasi hata visivyonihusu. Mfano kwa huu mkasa wako natangaza vita na wanawake wa Ruvuma, itaisha baada ya wiki mbili.
Daaaahh ww ni noumaaa
Nimecheka kwa sauti mpaka hapa wananishangaaaa
 
Nowdays, ladies are able to differentiate between feelings and emotions. So hutakufa Carlos. Maisha yamebadilika. Tofauti kati ya me na ke inaendelea kupungua
Eeehh , so akinichepukia nisamehe tu sababu "Sitokufa" .....au maana yako ni ipi Mkuu??

Nahuu utofaut kati ya me na ke unaozungumzia ni wa nyanja ipi??
 
Shost alicheat na mzungu kazini kwao, kama huyo wako alitaka kujua ladha ya nyeupe. Wenye nia njema walimfahamisha mumewe. Shost alikataa katakata.
Mume alikuja na mistari, mimi na wewe ni mwili mmoja tusifichane. Ndipo alipolainika akafunguka
Tangu afunguke, ndoa yake haina afya njema. Mume anaweza kurudi asubuhi anamwambia nilikuwa ninatest kitu kipya
Ila tuache utani mimi marafiki zangu wote urafiki wetu unaishia baa au kazini urafiki na familia yangu au mke wangu sitakii kbc kwasababu vijana wengi hawana adabu mkuu.
 
Kamanda kikosi fanya kama katiba yetu inavyosema. Embu fanya kama umemeza vidonge vya kuongeza confidence. Jilipue askari wangu. Ndio chamce zenyewe hizo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itabidi nitumie mbinu ya "Ulipo namm nipo" yaan atakaposhukia namm nishukie.
 
okiwira, basi tulia utengeneze upendo utaokadumu kwenye ndoa yako. Achana na mawazo hasi, acha tabia ya kunywa pombe itakayokufanya uwe chapombe haikusaidii kitu.
 
jaman mimwenyewe mwanmke ndoo kanifanya nimekuwa chapombe bira kujali wikend ila wangu hakuchapwaa na rafiki
 
Du. Wanawake wa sasa hawajui maana ya dhamana wanayoibeba katika familia.
Nilishasema kwa mwanaume ukiona mke ka cheat na umejua dawa ni talaka tu.its painful ila uta heal over time.
Ila kukaa nae hivi kila mkiwa kwenye mechi atakuwa anafananisha alivyokunjwa na rafikiyo.
 
Pole sana
sijui ukishakunywa unakuja kuchapa tena mzigo?
au umeacha kabisa, basi timua machoni kwako asionekane labda km anakupa pesa za kununulia pombe
 
Pole sana,ndio maana wanawake ni wengi zaidi ya wanaume,sasa unaingiaje kwenye wimbi LA mawazo kwa ajili mbunye tena ya kushare piga chini vuta chombo mpya mtoto atakuwa tu usijali
 
Back
Top Bottom