Mwanamke alikuwa chanzo cha mimi kunywa pombe

Mwanamke alikuwa chanzo cha mimi kunywa pombe

Bado namuhitaji Mkuu.

Duh!!, kuna watu mna moyo wa Ajabu si mchezo. Yaani Kachepuka Umemuuliza Amekubali harafu unaishia kunywa tu pombe. Niseme tu hongera sana mkuu ila mimi binafsi siwezi.
 
Mimi ndiyo maana nacheat kila nikipata chansi kwakua kazi yangu ni kulipiza visasi hata visivyonihusu. Mfano kwa huu mkasa wako natangaza vita na wanawake wa Ruvuma, itaisha baada ya wiki mbili.
 
Mkuu huyu rafiki alikuwa Muha

Samahani wangoni.

Ila wanaongoza kwa kula wake za marafiki zao.


Tusiwaamini hawa marafiki zetu hasa tuliowafanya ndugu. Tunajisahau nankuwaona ndugunzetu.

Juzi mmoja kanipiga ila sio masuala ya mapenzi.
 
Mimi ndiyo maana nacheat kila nikipata chansi kwakua kazi yangu ni kulipiza visasi hata visivyonihusu. Mfano kwa huu mkasa wako natangaza vita na wanawake wa Ruvuma, itaisha baada ya wiki mbili.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Pole saaana mkuu.

Bora ungebaki na ile hali ya kutokuwa na uhakika.

Anyway funzo ni kwamba kwa afya njema ya ndoa. Kama ulicheat mtu akakutaitisha bora ukatae tuu paka ukutwe redhanded.

Ukikubali tuu umekwisha
 
Mimi ndiyo maana nacheat kila nikipata chansi kwakua kazi yangu ni kulipiza visasi hata visivyonihusu. Mfano kwa huu mkasa wako natangaza vita na wanawake wa Ruvuma, itaisha baada ya wiki mbili.
Umepotea jukwaani mkuu
 
Kwamba (Ila jamaa alikuwa anasifika vibaya kwa kuchapa mademu.
Na wife alikuwa anaonesha kuchukia Mimi kuwa na rafiki wa aina hiyo.)





Afu badae wife aka liwa na mtu anae mchukia ,,[emoji41]pole sana
Hapa ndipo Jamaa alipokosea. Alikuwa na rafiki kito**I na rafiki akafanya kweli.

Nilishasema hapa. What you love in your woman will be the source of your sorrows. Mwanamke mpole mpaka kusema hapana hawezi.[emoji2] [emoji2]
 
Pombe sio suluhisho zaidi itakuacha maskini.tafuta njia mbadala ya kusolve tatizo
 
Mimi ndiyo maana nacheat kila nikipata chansi kwakua kazi yangu ni kulipiza visasi hata visivyonihusu. Mfano kwa huu mkasa wako natangaza vita na wanawake wa Ruvuma, itaisha baada ya wiki mbili.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] , yaani achitiwe mtu Mwingine Ruvuma huko kisasi ulipize wewe usiyehusika aki umenichekesha mkuu.
 
Kama bado unampenda fanya umuoe sasa, yaliyopita si ndwele ganga yajayo. Mtoto wa watu amekubali makosa, wewe kuendelea kuishi nae kisela ni kujenga matatizo.

Ndoa huimarisha upendo, ndoa ina baraka zake na hujenga hofu kwenye mioyo ya watu. Sasa wewe endelea kuishi kisela ukisema bado unamuhitaji, kesho akikusaliti tena uache kunywa pombe uanze kuokota makopo.
 
Inakuwaga inaleta mkosi kwenye ndoa. Au uwezekano wa kurudia hio ujinga uko tena. Once a cheater always will be a cheater.
Hao ndo wanawake na huyp ndo mchizi ambaye anaweza kuchoreka km muhuni, ila kwa akili za wanawake, bado watajilengesha ili kujua yaliyomo[emoji3]

Pole kamanda..... Ila pole kwa ufala wako ukidhani kunywa pombe ndo umetatua tatizo.


Mimi Hata nikiwa nmezaa naye watoto watatu , ATAKAPONISALITI nkajua,LAZIMA YEYE +NGUO ZAKE+ELIMU NA MAKOROKORO YAKE ,AJIBEBE AENDE UKO ANAKOTAKA KWENDA KWASABABU MACHON MWANGU SITOTAKA NIONE SURA YAKE HATA KAMA ATAOMBA MSAMAHA ANALIA CHOZI LA DAMU.

Unajua kwann??? Mwanamke akishakuchepukia,, 100% uwezekano wa ww kufa au kuyumba ni mkubwa, SASA BINAFSI KAMOYO KANGU NAKAPENDA NA SITOKUA TAYAR KUBEBA MSALABA WA MTU MZIMA.
 
Alooooo, hiyo ndoa inahemea oxygen kwakweli. Ila blame over her na nafsi yake kwa kufanya upumbav kama huo.

Sasa is up to her, amkalishe mumewe chini wayajenge. Au aache hivyo hivyo kuendelea kujuta.
Wanawake wengine akili zao ni finyu sana yaani. Japo si wote.
Shost alicheat na mzungu kazini kwao, kama huyo wako alitaka kujua ladha ya nyeupe. Wenye nia njema walimfahamisha mumewe. Shost alikataa katakata.
Mume alikuja na mistari, mimi na wewe ni mwili mmoja tusifichane. Ndipo alipolainika akafunguka
Tangu afunguke, ndoa yake haina afya njema. Mume anaweza kurudi asubuhi anamwambia nilikuwa ninatest kitu kipya
 
Pole sana mleta mada ,ila hyo pombe sasa si pesa zote zitakua zinaishia huko, ila siye wadada mmh Mungu anatuona kwakweli yaan kutoka na mtu ili tu kugundua kwann anatoka na wengi duuh
 
Mkuu huyu ni mke wa ndoa


Kama bado unampenda fanya umuoe sasa, yaliyopita si ndwele ganga yajayo. Mtoto wa watu amekubali makosa, wewe kuendelea kuishi nae kisela ni kujenga matatizo.

Ndoa huimarisha upendo, ndoa ina baraka zake na hujenga hofu kwenye mioyo ya watu. Sasa wewe endelea kuishi kisela ukisema bado unamuhitaji, kesho akikusaliti tena uache kunywa pombe uanze kuokota makopo.
 
Back
Top Bottom