Habari wanandugu
Mimi ni mwanaume umri wangu ni miaka 33 natafuta mwanamke kwa ajili ya kujenga familia.
Nahitaji mwenye sifa zifuatazo
Mkristo wa kueleweka
Umri asizidi 30
Elimu kuanzia kidato cha 4
Awe ameajiriwa au kujiajiri
Awe na rangi yake ya asili sio kujichubua
Mrefu wastani
Asiwe mnene
Kabila lolote
Aliye na sifa hizo, tafadhali tuwasiliane
Mimi ni mwanaume umri wangu ni miaka 33 natafuta mwanamke kwa ajili ya kujenga familia.
Nahitaji mwenye sifa zifuatazo
Mkristo wa kueleweka
Umri asizidi 30
Elimu kuanzia kidato cha 4
Awe ameajiriwa au kujiajiri
Awe na rangi yake ya asili sio kujichubua
Mrefu wastani
Asiwe mnene
Kabila lolote
Aliye na sifa hizo, tafadhali tuwasiliane