Mwanamke aliyehukumiwa miaka 15 kwa kubaka asema Jaji hakuelewa ushahidi


πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huyo jaji arudi shule tu, tangu lini mwanamke akabaka? Ama haelewi definition ya rape?
Kubaka ni sawa na sex tu ila je alikubali? Kama unavoona wanaume wanavofosi kwa girl ndo nae alichofanya kalazimisha tendo wakati mwanaume hataki,,,
 
[emoji3] ndugu umenipiga kamba ukioa ni halali kula cha mkeo bhn.. Ukiona mwanamk anasema kabakwa ujue ni mzembe katika ndoa [emoji4]
 
Aliebakwa hana akili ...mwanaume mzima unabakwa!!! Na wamchunguze kama alipiga Hata bao moja ni mwizi mkubwa huyo
 
Huyo jaji arudi shule tu, tangu lini mwanamke akabaka? Ama haelewi definition ya rape?
Leta tafsiri yako tukukosoe. Ubakaji unaweza kufanywa na jinsia zote. Ubakaji upo hata ndani ya ndoa. Wewe unatumia tafsiri gani?
 
Soma section 130 ya penal code utaelewa namaanisha nini
Section 130 of the Penal Code was repealed and replaced by the provisions of Act No. 4 of 1998 ( Sexual Offences Special Provisions Act, 1998.
 
Namuonea wivu huyo dogo,dah! Wangeacha tu ajipakulie mdada wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…