Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 1,056
- 2,118
Nyama ya ng'ombe au😹💔Msumari wa nyama 😋
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyama ya ng'ombe au😹💔Msumari wa nyama 😋
🤣🤣🤣🤣🤣Nyama ya ng'ombe au😹💔
Kama unaona mtu hafanyi ipasavyo kwann ushirikiano uumpe ni violence tuNdio mko hivyo, nyie mnaotumia milinda na juisi 😀
Kwan tunabet apa 😹 😹🙌🏾Mambo madogo hayo, itawezekana tu; muhimu vigezo na masharti kuzingatiwa
Kuna maandiko yanasema, ameumbwa kwa mfano wa......Kama unaona mtu hafanyi ipasavyo kwann ushirikiano uumpe ni violence tu
Kwan tunabet apa 😹 😹🙌🏾
Kwani tuko mbele za watu si tunatumia simu au😹🙌🏾Nyie wenye makelele mengi mbele za watu, mkiwa ndani ni sifuri kabisa. Ni sawa na kumpenda mnenguaji akiwa jukwaani, ukifikiri akiwa ndani atanengua vile vile.
Aya, ebu nenda hapo kwa mangi uchukue balimi mbili , nakuja kulipa kwa jf pesa.Kwani tuko mbele za watu si tunatumia simu au😹🙌🏾
Natumia Hennessy mie sijui balimi ni nn🤧Aya, ebu nenda hapo kwa mangi uchukue balimi mbili , nakuja kulipa kwa jf pesa.
Wewe sio mzalendo kwa nchi yako, tumia vya nyumbani kuwezesha ustawi wa viwanda vyetu pamoja na ajira kwa walioajiriwa maeneo hayo.Natumia Hennessy mie sijui balimi ni nn🤧
Uzalendo sikuizi tunauz😹Wewe sio mzalendo kwa nchi yako, tumia vya nyumbani kuwezesha ustawi wa viwanda vyetu pamoja na ajira kwa walioajiriwa maeneo hayo.
We inaoneka shule ya msingi ulikuwa unakalia matofali badala ya madawati 😀Uzalendo sikuizi tunauz😹
Kumbe hamjioniAisee ndo tumefikia huku jmn 😃
🤣🤣🤣Hapana hii imeniuma sanaHapana dada natoa experience 🤣🤣
Dada Aaliyyah mambo 🤗🤗🤣🤣🤣Hapana hii imeniuma sana