Mwanamke ambaye ana kazi yake nzuri na elimu inakuwaje unaleta mwanaume zaidi ya mmoja sehemu uliyopanga?

Mwanamke ambaye ana kazi yake nzuri na elimu inakuwaje unaleta mwanaume zaidi ya mmoja sehemu uliyopanga?

VINICIOUS JR

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2022
Posts
208
Reaction score
518
Wasalam wakuu.

Bila kupoteza muda twende kwenye mada, wanawake hivi kwanini husichague mtu mmoja especially baba wa mtoto ndo awe anakuja home na sio kila mwanaume unamleta kwako kisa unajitegemea hailet picha nzuri.

Kama wewe ni malaya basi jitahid hao wengine mkutane huko nyumba za wageni sio kila mtu unamleta kwako, maadili, heshima viko wap jamani.

Wanawake jirekebisheni.
 
Wasalam wakuu.

Bila kupoteza muda twende kwenye mada, wanawake hivi kwanini husichague mtu mmoja especially baba wa mtoto ndo awe anakuja home na sio kila mwanaume unamleta kwako kisa unajitegemea hailet picha nzuri.

Kama wewe ni malaya basi jitahid hao wengine mkutane huko nyumba za wageni sio kila mtu unamleta kwako, maadili, heshima viko wap jamani.

Wanawake jirekebisheni.
Siyo kosa lake that zone is different from all others you may know, ndilo eneo pekee lililoshindikana enzi na enzi, huwezi kulicontrol utakavyo
 
Wasalam wakuu.

Bila kupoteza muda twende kwenye mada, wanawake hivi kwanini husichague mtu mmoja especially baba wa mtoto ndo awe anakuja home na sio kila mwanaume unamleta kwako kisa unajitegemea hailet picha nzuri.

Kama wewe ni malaya basi jitahid hao wengine mkutane huko nyumba za wageni sio kila mtu unamleta kwako, maadili, heshima viko wap jamani.

Wanawake jirekebisheni.
Kwani dhambi ya uzinzi inapungua ukifanya guest na sio nyumbani kwako?
Wacha bidada wajienjoy bwana...akiwa kwake yupo huru jee kama ana enjoy kunyeea mashuka huko guest sii aibu tupu
 
Wasalam wakuu.

Bila kupoteza muda twende kwenye mada, wanawake hivi kwanini husichague mtu mmoja especially baba wa mtoto ndo awe anakuja home na sio kila mwanaume unamleta kwako kisa unajitegemea hailet picha nzuri.

Kama wewe ni malaya basi jitahid hao wengine mkutane huko nyumba za wageni sio kila mtu unamleta kwako, maadili, heshima viko wap jamani.

Wanawake jirekebisheni.
kabla hujanyooshea mtu kidole unajua vingapi vinakusonta wewe?
 
Wasalam wakuu.

Bila kupoteza muda twende kwenye mada, wanawake hivi kwanini husichague mtu mmoja especially baba wa mtoto ndo awe anakuja home na sio kila mwanaume unamleta kwako kisa unajitegemea hailet picha nzuri.

Kama wewe ni malaya basi jitahid hao wengine mkutane huko nyumba za wageni sio kila mtu unamleta kwako, maadili, heshima viko wap jamani.

Wanawake jirekebisheni.
Je mwanaume mwenye ghetto lake anaruhusiwa kupeleka wanawake zaidi ya mmoja hapo ghetto kwake?
 
Back
Top Bottom