Bora umekubali ππNi kweli usemalo. Mie mwenyewe nawakandia wanawake maana kwanza on a scale of 1-10 ya uhandasome mie nipo -3, hela ndio sina nitaachaje kuwakandia wanawake ili japo nijifariji maana mbususu zao sipati. Ni kweli mi makasiriko yangu kwa wanawake ni kwana am ugly and i dnt have money.
ππSikuhizi umeanza kuniogopa mdogowangu au kwakuwa ndo ninasura mbayaNakujuaπ, ndio maana nikasema sikuwezagi. Waje wabobevuππ
Ah .ie tena besty sii unajua ni msema kweliBora umekubali ππ
Nimekupata madamSijasemea maoni,nimezungumzia uzi(nyuzi)
πππ na huku nilipo, bora niogope kwanza nisije nikafa kwavyote ikiwemo presha.ππSikuhizi umeanza kuniogopa mdogowangu au kwakuwa ndo ninasura mbaya
Alafu wanaume wenye sura mbaya na hawana Hela ndio wanaoongoza Kwa maneno machafu Wana makasiriko balaa huu ni utafit wanguπππ
πππEeeeh tumefikiwa Sasa
Huyu wa kwangu ni graduate na yupo shirika moja kubwa tu Kama mhasibu ila ana miezi michache kwenye ajira. Alikuwa na hofu kwasababu kila kitu ni changu eti nitamnyanyasa, sijui wanapatakaga wapi mindset hizi. Kiufupi nilimweka chini na kumjenga na kumuahidi tutatafuta vya kwetu. Mpaka sasa nipo naeHuyo mgeni wa mapenzi....mie mwenyewe kuna mrembo alikuwa anasema hivyo nilikuwa nadate nae. Mwee sii akaingia mkenge wakuolewa na mtu ambaye eti watatafuta pamoja....aliyoyakuta humo ndani ya ndoa mwenye kaamua waachane tuu.
Bro nakwambia hivi mkimbie huyo fasta. Sio kwamba kwa sabababu mie ni pro kataa ndoa but hiyo tayari ni red flag. Kama tayari kashaonyesh hiyo mindset it will never change.Huyu wa kwangu ni graduate na yupo shirika moja kubwa tu Kama mhasibu ila ana miezi michache kwenye ajira. Alikuwa na hofu kwasababu kila kitu ni changu eti nitamnyanyasa, sijui wanapatakaga wapi mindset hizi. Kiufupi nilimweka chini na kumjenga na kumuahidi tutatafuta vya kwetu. Mpaka sasa nipo nae
[emoji1787]I hate the devil in u women with a passion but i loveeee ur etelezi
Haha your advice has been considered bro.Bro nakwambia hivi mkimbie huyo fasta. Sio kwamba kwa sabababu mie ni pro kataa ndoa but hiyo tayari ni red flag. Kama tayari kashaonyesh hiyo mindset it will never change.
Angalia pia watu wasije wakmkula huko jobπ kuwa na backup plan. Hawa wanawake hawaeleweki mzeya trust them but not the devil inside them.
Mwanamke Tako[emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090] [emoji16][emoji16][emoji16]!
Watu wamenipopoajee nahio wazo yangu[emoji119][emoji119][emoji119]
"mwanamke shepu sijui matrak sura watajua wenyewe [emoji16][emoji16][emoji16]
Anatafuta zileWapi huko tumekandiwa?
Una akili sanaAlafu wanaume wenye sura mbaya na hawana Hela ndio wanaoongoza Kwa maneno machafu Wana makasiriko balaa huu ni utafit wangu[emoji3][emoji3][emoji3]
100% frue ππππWanawake hasa hawa weusi hawajiamini wanatumia filter ili kuibia watu na kuwaachia majuto makubwa.
Hii imetokea jana, rafiki yangu kayakanyaga baada ya kumkimbia Mwanamke wake wa mtandaoni waliyekutana Facebook, hii imesababishwa na kakutana na sampuli mbili tofauti.
Hawa Wanawake weusi hawajitambui na hawana uhuru wa fikra na hawajikubali na wanaingiza watu king sana.
This is a stolen generation.
Uzuri wa sura hautafutwi hio ni natural ndo maana nirahisi kumjua mwanamke mbovu wa sura au mzuri wa sura hata kama apake sijui kitu gaani au achonge sura utajua tu huyu sio tofauti na mwenye kuchonga shepuSasa si ndo umpemdezeshe awe Kama ulomuona kwenye picha? Wewe unataka ukute kapendezeshwa afu ndo umchukue?
Jidanganye tu πππππππUzuri wa mtu ni moyo na nafsi ivo vingine mbwembwe tu
ππππππ Kauli za kujifariji sio eeeehSikia huyo anasema uzuri ni moyo π€£π€£
Wacha maneno yako
π€π€π€π€πππππAlafu wanaume wenye sura mbaya na hawana Hela ndio wanaoongoza Kwa maneno machafu Wana makasiriko balaa huu ni utafit wanguπππ