Mwanamke amejitoa sadaka kisa mumewe apate kazi

Mwanamke amejitoa sadaka kisa mumewe apate kazi

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Hellow

Hii story ya kweli kabisa imetokea ivi karibuni

Kulikuwa na mdada aitwaye Tupokigwe ambaye alikuwa na mchumba wake aitwaye Chacha walipenda sana. Tupokigwe alikuwa ni mwajiliwa wa sekta binafsi alikuwa ni afisa biashara wa kampuni, ila Chacha alikuwa hana kazi jobless

Tupokigwe aliona hii sio sawa ndipo alipoanza kuongea na boss wake kuwa ana rafiki yake ana shida na kazi kajieleza sana boss akampa chagua kazi sio shida, shida mimi nataka kulala na wewe

Tupokigwe alikataa akakaa sana baada ya miezi mitatu kupita akaona mzigo mzito mwanaume anamlea tu akaenda kumwambia boss wake kuwa nimekubali ila kwa sharti moja siku utakayomwita aje kuanza kazi ndiyo siku na mimi nitakupa penzi.

Boss alikubali na boss alikuwa na kampuni nyingine akatoa maagizo kwa msimamizi wake wa kampuni B aliitwa kesho yake kazini na taarifa zikamfikia Tupokigwe aliporudi nyumbani Chacha alimpa taarifa mchumba wake Tupokigwe na kumshukuru ikumbukwe kuwa Chacha alikuwa anajua kuwa Tupokigwe anamtafutia kazi

Baada ya kuanza kazi jeuri ndio ilipoanzia tena ile siku aliyopokea mshahara wa kwaza kabisa alianza kumpiga mara matusi yote kamaliza na mpaka sasa Tupokigwe anatamani kumuacha ila hawezi anampenda sana

Mimi sikutoa ushauri kwasababu nayajua mapenzi jinsi yalivyo
 
Kifupi tupokigwe ni malaya tu alikuwa na interest zake, kama yeye alikuwa na kazi na alimpenda mume wake alikuwa na haja gani kugawa uchi.
Duh umetumia maneno makali sana

Ila je ungekuwa wewe ndio chacha
 
Sahihi mwanaume ukae nyumbn mkeo apoke mshahara alete chakul


Kwa miaka hii nimeona sisi wanaume wengi tumekubwa na hayo na hata majuz nilienda kwa boss dad mmoja kumbe mmewake ni jobles tuu amefuga ktambiii

.Nazan ikitokea kat ya wawili mmoja ameajiliw kwann mwingne asifanya biashara ndogo ikaw kubwa
Binti alikosea kabisa kutoa mwili wake ili mwanaume apate kazi. Mwanaume anatakiwa awe shujaa apambane yeye mwenyewe ikishindikana afe akiwa bado anapambana.
 
Ila mapenzi yana nguvu wewe huwezi msaidia mpenzi wako
Naweza msaidia mpenzi wangu ila sio nikatiane na mwanaume mwingine ili yeye asaidike. Over my dead body.

Maana kwanza lazima mahusiano yatayumba tu akigundua uligongwa na mtu mwingine. Hata kama uligongwa ili yeye asaidike mahusiano yatakufa tu.
 
Naweza msaidia mpenzi wangu ila sio nikatiane na mwanaume mwingine ili yeye asaidike. Over my dead body.

Maana kwanza lazima mahusiano yatayumba tu akigundua uligongwa na mtu mwingine. Hata kama uligongwa ili yeye asaidike mahusiano yatakufa tu.
Lakini kumlea tu unaweza?
 
kama ningejua kagawa uchi ili mimi nipate kazi, siwezi kuifanya hiyo kazi na yeye naachana naye.
Kingine, nisingekubali kutafutiwa kazi na mtoto wa kike.
kwahiyo uko tayali kuwa mario
 
Binti alikosea kabisa kutoa mwili wake ili mwanaume apate kazi. Mwanaume anatakiwa awe shujaa apambane yeye mwenyewe ikishindikana afe akiwa bado anapambana.
Hannah umenichekesha sana maana umemkandia mwanaume mpaka nawaonea huruma wanaume wa dar wa zama hizi
 
kwahiyo uko tayali kuwa mario

nimekujibu kulingana na scenario iliyopo mezani.

Binafsi nina mifumo yangu ya maisha.
siwezi kulala kwa mwanamke.
siwezi kulishwa na mwanamke.
siwezi kununuliwa pombe na mwanamke.
siwezi kutafutiwa kazi na mwanamke.
 
Back
Top Bottom