Pre GE2025 Mwanamke anahaki ya kuongoza taifa hili. Watu waelewe nchi yetu haiongozwi na Dini wala Mila na desturi bali Katiba ya Nchi

Pre GE2025 Mwanamke anahaki ya kuongoza taifa hili. Watu waelewe nchi yetu haiongozwi na Dini wala Mila na desturi bali Katiba ya Nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Njaa na ukosefu wa tumaini unapoisumbua jamii watu huja na mawazo ya kipuuzi kabisa. USA inakaribia kuwa na rais wa kwanza mwanamke katika historia, wameongozwa na marais 46 wanaume hivi sasa asili ya Mungu inaweza ikawapa rais wa jinsia ya kike.

Unakosea Sana kuhusianiasha Siasa za Dunia na mambo ya Mungu.
Mungu alishawaachia wanadamu utawala waô baad ya WANADAMU wènyewe kukataa kuongozwa na Mungu
Wangemshauri hayati JPM asimchukue Samia kama mgombea mwenza hapo ningewaona kweli wanachokisema kinatoka mioyoni mwao lakini mpaka Magufuli anaapishwa mwaka 2015 na Samia amekaa pembeni akiwa mshirika wa urais wao walikaa kimya tu.

Marekani wanaviongozi wakike wengi tuu. Hao kina Kamala na Hilary huwajui?

Na waendelee kuumia kimya kimya hivyo hivyo mpaka SSH atapoondoka ikulu.

Kagombee na Samia umpe challenge Mkûu.
Kwani tatizo liko Wapi?
 
Unakosea Sana kuhusianiasha Siasa za Dunia na mambo ya Mungu.
Mungu alishawaachia wanadamu utawala waô baad ya WANADAMU wènyewe kukataa kuongozwa na Mungu


Marekani wanaviongozi wakike wengi tuu. Hao kina Kamala na Hilary huwajui?



Kagombee na Samia umpe challenge Mkûu.
Kwani tatizo liko Wapi?
Samia ndio rais wetu na anaweza kuwepo ikulu mpaka 2030 haya mengine ni mazungumzo baada ya habari.
 
Ni kweli kabisa kuwa serikali haina dini.

Ila raia wake wana dini.
 
Na viti maalumu viondolewe ili wapambane kwa hoja kwenye majukwaa, na ushawishi wao kwa wananchi
 
"A people which has a woman as a leader will never prosper"

Sahih al-Bukhari | Imam Muhammad al-Bukhari
 
Wacha wajenge hoja wawezavyo ila mwanamke ni kiumbe alie emotional,

Suala la pili ni kwamba uko upande wa kikeni zaidi katika mambo mengi.

Yawezekana kipindi unakua ulikua unapenda sana kushinda jikoni.


View: https://youtu.be/Eeu4EISmQVI?si=COO49q2zvUXIdYLm


Wàpo Wanaume pia wàpo emotional.

Unafikiri ni kitu gàni kinasababisha Wanaume wengi Kuua, kufanya ukatili, kubaka kama sio kuendeshwa na emotional?

Na wéwe unafuatilia mambo ya kiukeni Sana ndîo maana unafuatilia??
 
Kuongozwa na mwanamke ni ukengeufu wa mwanadamu,kuongozwa na mwanamke ni chukizo kwa Mungu mwanaume ndiye kichwa,hata kwenye maisha ya kawaida ya mume na mke,mwanamke akiwa kiongozi kwa mumewake hiyo siyo ndoa.
 
MWANAMKE ANAHAKI YA KUONGOZA TAÍFA HILI. WATU WAELEWE NCHI YETU HAIONGOZWI NA DINI WALA MILA NA DESTURI BALI INAONGOZWA NA KATIBA YA NCHI.



Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Bro maswala ya jinsia ya mtawala wa, TZ, ni, none issue, hata tukitawaliwa na shoga, lesibian, nk, kama Sera za uchumi zipo vzr,tutafika, mbali, tatizo letu, ma ccm hayajuhi maslahi ya nchi, au yameacha,yanachojua ni wizi tu, sasa hv naona Prado toleo jipya lipo mtaani na STK! Why keep buying these vehicle, kwanini tusiwaambie wajapan watutengenezee old model, tununue kwa bei nafuu, kenge wanapiga pesa tu,
We wananchi, dont care about Sex of our ruler, as long as the country prospers,
But this woman we have now, "she was not supposed to be President" She has failed caterstropyicaly
 
Wàpo Wanaume pia wàpo emotional.

Unafikiri ni kitu gàni kinasababisha Wanaume wengi Kuua, kufanya ukatili, kubaka kama sio kuendeshwa na emotional?

Na wéwe unafuatilia mambo ya kiukeni Sana ndîo maana unafuatilia??
Ndio wanaume emotional wapo, hayo ni matokeo ya malezi ya jikoni kama ilivyo kwako.

Mtoto wa kiume inabidi alelewe na kuongozwa kiume na mwanaume, sio mwanamke, ila siku hizi tatizo la singo maza(watu ambao huwa unawatetea pia) ndio linaotuzalishia hawa emotional men.

Mimi sifuatilii mambo ya jikoni nipo hapa kukuelekeza wewe na wengine kama wewe mzee wa kutetea wanawake a.k.a captain save the hoe
 
Kuongozwa na mwanamke ni ukengeufu wa mwanadamu,kuongozwa na mwanamke ni chukizo kwa Mungu mwanaume ndiye kichwa,hata kwenye maisha ya kawaida ya mume na mke,mwanamke akiwa kiongozi kwa mumewake hiyo siyo ndoa.

Mwanadamu alikataa kuongozwa na Mungu.

Kisiasa Mungu ndiye mtawala lakini wanadamu walimkataa.

Kifamilia Mwanaume ndiye Kiongozi yàani mtawala.
Hapo tunazungumzia Kidini.
 
Ndio wanaume emotional wapo, hayo ni matokeo ya malezi ya jikoni kama ilivyo kwako.

Mtoto wa kiume inabidi alelewe na kuongozwa kiume na mwanaume, sio mwanamke, ila siku hizi tatizo la singo maza(watu ambao huwa unawatetea pia) ndio linaotuzalishia hawa emotional men.

Mimi sifuatilii mambo ya jikoni nipo hapa kukuelekeza wewe na wengine kama wewe mzee wa kutetea wanawake a.k.a captain save the hoe


Sasa kumbe unajua wàpo Wanaume àmbao nao wàpo emotional why uone Wanawake wàpo emotional kana kwamba Wanaume hawapo emotional? Hivi zina- charge kwèli.
 
MWANAMKE ANAHAKI YA KUONGOZA TAÍFA HILI. WATU WAELEWE NCHI YETU HAIONGOZWI NA DINI WALA MILA NA DESTURI BALI INAONGOZWA NA KATIBA YA NCHI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Jàmani! Jàmani! Msijifanye hamnazo. Msiwe vipofu Wakati mnamacho.

Mimi Mtu nikimsikia akiongea mambo ya Mila na desturi akiwa anamaanisha Mila za Makabila ñàona kama anajizima data na kujitia hamnazo.
Hakuna Mila Wala desturi za kikabila tangu Ukabila ulipofutwa na kuunda Taífa la Tanzania.

Mimi Mtu akiniletea mambo ya sijui Sisi Wapare, sijui Wasukuma, sijui wahaya namwona kama anaongea mambo ya Zama za Giza yaliyokwisha kupitwa na Wakati.

Kama mlikuwa Mnataka Mila na desturi ziendelee msingeunda Taífa Moja. Kîla kabila lingeunda Taífa lake. Lakini mlikubali wènyewe kuzika Ukabila yàani Mila na desturi za kikabila ili kuunda Taífa Moja àmbalo litaongozwa na KATIBA àmbayo ndîo Mila na desturi mpya.

Oooh! Mwanamke hatakiwi KUONGOZA, sijui Mila zetu, Mila zîpi? Za Wapi? Mila zenu na Nani?

Oooh! Dini Inasema, sijui Nabii Fulani sijui mtume Fulani, sijui Kitabu Fulani kinakataza Mwanamke asiongoze.
Aliyekuambia Taífa hili linaongozwa na Dini Fulani au mtume Fulani au Nabii Fulani au kitabu Fulani ni Nani?

Nchi hii Haina Dini. Ila Watu wake wanadini na wàpo wasio na Dini.

Unaposema Dini yako inakataza Mwanamke asiongoze vipi Kwa wale wasio na Dini àmbao hawaoni shida mwanamke KUONGOZA?
Vipi Kwa Dini Ambazo zinaruhusu Mwanamke KUONGOZA?

Katiba ndîo Biblia ya Taífa hili.
Sheria za nchi ndîo Torati ya Taífa hili
Taífa letu ndîo Dini yetu watanzania.

Sisi Watibeli hatuoni shida Mwanamke KUONGOZA Ikiwa anauwezo Kwa Sababu tunajua wàpo Wanawake weñye kupenda uongozi, weñye Nia na uwezo, na weñye ujuzi wa kufanya hivyo.

Sisi kama Wanaume wa kitibeli hatutaki kupendelewa tunataka Haki.
Halikadhalika wanawake wa kitibeli hawataki kupendelewa isipokuwa Haki.

Yaani mwanamke asipewe uongozi Kwa uanamke wake Bali uwezo wake.

Watibeli hatutaki kusikia habari za VITI MAALUMU Kwa sababu Huko NI kudhalilisha Wanawake kuwa ni viumbe Duni wanaotakiwa kubebwabebwa kama MAITI zisisoweza kujitetea.

Viti maalumu ni udhalilishaji Kwa Wanawake, ukanjanja. Viti maalumu ni dhulma Kwa Wanawake Kwa sababu inawanyima Haki Wanawake kuonyesha uwezo waô halisi.

Mimi Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Uzi huu umeandika kama mtu aliyekunywa wanzuki
 
Back
Top Bottom