Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
isipokuwa tu kuvaa msuli!Mwanamke, tena umkute mwanamke chochote anachovaa kina mpendeza .
Uanzie suruali za kiume , kanzu , shati, viatu hata boxer za kiume [emoji16][emoji16][emoji16] anapendeza na kuwa sexy kabisa
Kuhusu saa aina yoyote inapendeza kikubwa iwe inafit vizuri mkononi
Hii mpya sasa hadi kanzu?[emoji3][emoji3]Mwanamke, tena umkute mwanamke chochote anachovaa kina mpendeza .
Uanzie suruali za kiume , kanzu , shati, viatu hata boxer za kiume [emoji16][emoji16][emoji16] anapendeza na kuwa sexy kabisa
Kuhusu saa aina yoyote inapendeza kikubwa iwe inafit vizuri mkononi
Kwani kanzu si kama dera tu mkuu.Hii mpya sasa hadi kanzu?[emoji3][emoji3]
Safisha macho tu[emoji3][emoji3]Mbona mimi mwenzenu sioni saa, vitu vyenye naona vinasafisha macho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanzu mbona kawaida tuu,Hii mpya sasa hadi kanzu?[emoji3][emoji3]
isipokuwa tu kuvaa msuli!
Hiyo nguo yake dada duuWakuu,
Mtindo wa maisha unabadilika kwa kasi sana,Mojawapo ya mitindo ni wanawake kuvaa saaa za kiume mkononi.
Je unadhani mwanamke anapendeza zaidi akivaa saa ya Kike au ya kiume? na ipi inamfanya kuwa huru zaidi (comfortable)?
Asante.
View attachment 1563582View attachment 1563583View attachment 1563584
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Msuli pia ukijichnganya mbele yetu unavalika