Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
- Thread starter
- #21
Na saa je ni vazi ?Imeandikwa:
“Mwanamke asivae mavazi ya Mwanaume vivyo hivyo Mwanaume asivae mavazi ya mwanamke”
Kwa hiyo ni haramu mwanamke kuvaa suluari, Pensi, pedo n.k.
Ni tabia ya kihuni mwanamke kuvaa suluari, pensi, pedo n.k
Ni ukosefu maadili mema kwa mwanamke kuvaa mavazi hayo .