Na saa je ni vazi ?Imeandikwa:
“Mwanamke asivae mavazi ya Mwanaume vivyo hivyo Mwanaume asivae mavazi ya mwanamke”
Kwa hiyo ni haramu mwanamke kuvaa suluari, Pensi, pedo n.k.
Ni tabia ya kihuni mwanamke kuvaa suluari, pensi, pedo n.k
Ni ukosefu maadili mema kwa mwanamke kuvaa mavazi hayo .
Kwanini unavaa za kiume sana na sio za kike?
Ohhhh...Saa ya mkononi pia ni kama urembo fulani
😂😂😂Sikumbuki kama nimewahi kumuangalia mwanamke mkono aisee.
Zipo sehemu naangalia
Wewe mwwnyewe unazijua vzr tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Sizijui mkuu 😂Wewe mwwnyewe unazijua vzr tu
Mmh labda wewe ni mdogo.Sizijui mkuu [emoji23]
Mmh labda wewe ni mdogo.
Nisije kuwa na chat na NYARA za serkali ile 30 yrs
Nimeshtuka. Weeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimeshtuka. Weeee
Serkali inavyothibiti MALI zake
Lkn kweli Mwanaume naangalia mkono wenye saa? Nanzia paleeee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]