Mwanamke anapendeza zaidi akivaa saa ya kike au ya kiume?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu mimi sio under 18
Akili inataka ikytajie inagoma.
Kesi nitambambikiwa
Utakatishaji fedha, uhujumu uchumi , kuchezea nyara sa serkali na Uchochezi
 
Napenda wanawake wanaovaa vitu vya kiume mfano t-shirt saa na wanaovaa suruali
 
mwanamke hupendeza sana akitumia vitu vya kiume mfano saa, akivaa jeans,pensi au T-shirt
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…