Mwanamke anapokua Lesbian (Msagaji), kwani wanaume hawamtoshelezi?

Mwanamke anapokua Lesbian (Msagaji), kwani wanaume hawamtoshelezi?

Nadhani inatokana na aina ya mapenzi waliyoanza kujihusisha nayo ujanani mwanzo kabisa

hata hivyo nadhani ni rahisi mwanamke wa aina hiyo kuwa na mwanaume kuliko jinsia ya pili

Na naona suala la lesbianism linavumilika somehow kwenye jamii, yaani lina uafadhali fulani. Unlike lile la jinsia ya pili (ushoga).

One of my comrades, back in days, aliwahi kuwa na demu wake lesbo... something like bisexual... Demu alikuwa anagegedwa na jamaa, ila pia akaomba ruhusa ya kuwa anasagana. Jamaa alimruhusu. Demu alikuwa mboga saba wa kishua.

-Kaveli-
 
dada Karucee wewe ni mkongwe humu.
mwanzoni alikuwa akija mwanamke analalamika kusalitiwa ataelekezwa njia mbali mbali za kujaribu kurudisha penzi kwa huyo mtu wake.
jukwaa lilipovamiwa na lesbians ushauri wao mkuu ni kuvunja ndoa tu. hakuna ushauri mwingine wanaoutoa.
wanachowaza wao ni tuwe wengi wanasahau kuwa wengine wako ludodolelo huko.

ule ushauri wa kiustahimilivu, kiungwana huupati humu siku hizi.
wako wengi sana hata humu.
Haahaa nimecheka kweli eti jukwaa lilivyovamiwa na lesbians.
 
Na naona suala la lesbianism linavumilika somehow kwenye jamii, yaani lina uafadhali fulani. Unlike lile la jinsia ya pili (ushoga).

One of my comrades, back in days, aliwahi kuwa na demu wake lesbo... something like bisexual... Siku tupo maskani akatudokeza. Anasema kuwa demu lesbo ni mtamu mnoo kumla. Puccy ipo taiti and fresh coz haiwi penetrated mara kwa mara. Demu alikuwa anagegedwa na jamaa, ila pia akaomba ruhusa ya kuwa anasagana. Jamaa alimruhusu. Demu alikuwa mboga saba wa kishua.

-Kaveli-
Duhh hatariii sana
 
I dont support Lesbian ila some how nawaelewa maana wanateseka na wanaume sana. Then asilimia kubwa ya lesbian wapo kwenye ndoa, wanalalamika mume msaliti. Hatulii nyumbani ukipiga bao dakika 3 hoi maana nje umepewa. Now wanaelekea huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haahaa nimecheka kweli eti jukwaa lilivyovamiwa na lesbians.
Mbona hata wao mwanaume mwenzao akileta malalamiko humu jibu la fasta huwa ni 'piga chini huyo' hawa nao tuwaweke kundi gani au wanataka waolewe wao? Na wengine wanapiga kampeni kabisa eti mwanaume ukitaka uishi kwa amani usioe. Huyu kaka yangu Nyalotsi kapuyanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna muda nawazaga kuwa all women are lesbian in nature..Mwanaume huwezi kumuita mwanaume mwenzako mpenzi,au kulishwa keki kwa mdomo au kum-hug tight dume mwezako

Lesbianism ni kitendo kinachovumilika ila sio ushoga aisee..
 
Back
Top Bottom