Nadhani inatokana na aina ya mapenzi waliyoanza kujihusisha nayo ujanani mwanzo kabisa
hata hivyo nadhani ni rahisi mwanamke wa aina hiyo kuwa na mwanaume kuliko jinsia ya pili
Hujapata mkunaji wewe utastaafu hukoUkiwa na kipele kwenye mwili wako utajua ukikunaje upate raha
Haahaa nimecheka kweli eti jukwaa lilivyovamiwa na lesbians.dada Karucee wewe ni mkongwe humu.
mwanzoni alikuwa akija mwanamke analalamika kusalitiwa ataelekezwa njia mbali mbali za kujaribu kurudisha penzi kwa huyo mtu wake.
jukwaa lilipovamiwa na lesbians ushauri wao mkuu ni kuvunja ndoa tu. hakuna ushauri mwingine wanaoutoa.
wanachowaza wao ni tuwe wengi wanasahau kuwa wengine wako ludodolelo huko.
ule ushauri wa kiustahimilivu, kiungwana huupati humu siku hizi.
wako wengi sana hata humu.
Duhh hatariii sanaNa naona suala la lesbianism linavumilika somehow kwenye jamii, yaani lina uafadhali fulani. Unlike lile la jinsia ya pili (ushoga).
One of my comrades, back in days, aliwahi kuwa na demu wake lesbo... something like bisexual... Siku tupo maskani akatudokeza. Anasema kuwa demu lesbo ni mtamu mnoo kumla. Puccy ipo taiti and fresh coz haiwi penetrated mara kwa mara. Demu alikuwa anagegedwa na jamaa, ila pia akaomba ruhusa ya kuwa anasagana. Jamaa alimruhusu. Demu alikuwa mboga saba wa kishua.
-Kaveli-
Sio kurizika tu, Mimi sjawai misi mwanaume wala kutaman kua na mwanaume..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata huyo uliyenaye siku akijaribu hataacha!
Namaanisha nisemacho
Full mautamu yani
You are the author of your own destiny,happySio kurizika tu, Mimi sjawai misi mwanaume wala kutaman kua na mwanaume..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi nyinyi watu mupo?
[emoji14][emoji1437][emoji1437]
[emoji14][emoji1437][emoji1437]
Nafikiri umezaliwa na kasoro naturally.Sio kurizika tu, Mimi sjawai misi mwanaume wala kutaman kua na mwanaume..
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi na ule upande wa pili wa mashoga au wanaume wasiotamani wanawake, na wao wamezaliwa na kasoro naturally?
Mbona hata wao mwanaume mwenzao akileta malalamiko humu jibu la fasta huwa ni 'piga chini huyo' hawa nao tuwaweke kundi gani au wanataka waolewe wao? Na wengine wanapiga kampeni kabisa eti mwanaume ukitaka uishi kwa amani usioe. Huyu kaka yangu Nyalotsi kapuyangaHaahaa nimecheka kweli eti jukwaa lilivyovamiwa na lesbians.