Mwanamke anapokua Lesbian (Msagaji), kwani wanaume hawamtoshelezi?

Mwanamke anapokua Lesbian (Msagaji), kwani wanaume hawamtoshelezi?

Mmmh tabia mbovu tu ndo zinawasumbua nyie lesbians, na picha chafu kutazama. Zamani hayakuwepo haya, shauri yenu.
 
mnafikiri kukojoa na kuweka mimba ni kama makalio au vipi ?
maana kila mtu anayo

hizo mbegu mkachukue kwa wakulima sasa kama hamna

Mbegu zipo ndugu so usiwatishe. Ni kkuendelea kuomba sana.maana ni chukizo kwa muumba wetu. Sperm bank zipo
 
Nilikuwa sijui kwa nini wachungaji kama akina Gwajima kwenye ibada zao watu huwa wanaanguka na kuzirai na kubebwa juu juu. Jana ndio nimejua sababu hasa nilivyoambiwa Lowassa wana ushirika wa karibu na Gwajima.

So what!!, tukusaidie nini
 
Wanadai Wanapata Utam,kama Maziwa Unapata N'gombe Wa Nini?

Hapana mkuu, hiki kizazi mi naona kina laaana vile na ukiangalia ni vijana walozaliwa miaka ya tisini ndo wengi. Inasikitisha, inamaana hawana hata Ndoto ya kuwa na watoto.
 
Dunia imefkia mwisho skutegemea ka mngejadili usenge ka huu badala ya kuupuza
 
Back
Top Bottom