Mwanamke anapokua Lesbian (Msagaji), kwani wanaume hawamtoshelezi?

Mwanamke anapokua Lesbian (Msagaji), kwani wanaume hawamtoshelezi?

raha ya mwanamke ni nini kama si kubeba mimba?

tamaduni nyingine ni laana kwa binadamu!
 
siku moja nilikua chuo kikuu fulani na wakapita wadada wawili na jamaa zangu wakadai ni mtu na mpenzi wake.nilishangaa kuona wanawake nao wanapendana wao kwa wao kama nchi za ulaya na marekani.tamaduni zetu zimeingiliwa sana, na hao wadada ni wazuri jamani.

Swali langu wadau ni kuwa, ina maana wanaume hawawatoshelezi ama kuna tatizo la kibaiologia katika miili yao?

mnyama hana akili ila mwanadamu ana akili ila kutokana na shetani anaweza akafanya mambo zaidi ya mnyama, mfano mnyama kwa kuwa ni hayawani anaweza kumuingilia kimwili mama ake ila hawezi kufanya mapenzi na mnyama jinsia yake. Kwaiyo binadam akifanya hivyo akuwa ---- kuliko hata mbwa au hata bata. Acheni ushetani uo kuweni wamadam wenye akili na utashi wa upambanuzi wa mambo,.
 
Girls acheni kujitoa ufahamu kujishusha zaidi ya wanyama.
A lifetime of orgasms won't make up for the joy of having a husband and kids.
Stay fovused on the bigger picture and have the fear of God in your hearts.
Thumbs up, Well said.
 
Wacha waendelee kukoboana mpaka vitobo vizibe, ila duniani hakuna substitute ya muhogo aisee.
Niache kula raha nikapakane majasho na manzi!
Pyuuuu

Hao wanakuwa hawajakutana na mihogo ya uhakika..waache wahangaike...utakuta demu hajawahi kupigwa katerero,kusquirt ,kufika kileleni hata mara moja anasikia tu kwa watu...hivyo akichezewa na mwenzie akipata hiyo raha basi ndio anaona amefika....ni kwamba hawajapata kitu kizima !msiwalaumu siyo kosa lao....
 
Hao wanakuwa hawajakutana na mihogo ya uhakika..waache wahangaike...utakuta demu hajawahi kupigwa katerero,kusquirt ,kufika kileleni hata mara moja anasikia tu kwa watu...hivyo akichezewa na mwenzie akipata hiyo raha basi ndio anaona amefika....ni kwamba hawajapata kitu kizima !msiwalaumu siyo kosa lao....

Ahahahahaaa
 
Siku moja nilikua chuo kikuu fulani na wakapita wadada wawili na jamaa zangu wakadai ni mtu na mpenzi wake.Nilishangaa kuona wanawake nao wanapendana wao kwa wao kama nchi za Ulaya na Marekani.Tamaduni zetu zimeingiliwa sana, na hao wadada ni wazuri jamani.

Swali Langu wadau ni kuwa, ina maana wanaume hawawatoshelezi ama kuna tatizo la kibaiologia katika miili yao?

Kwahiyo mashoga waliopo ni bse hawatoshelezwi na wanawake?
 
Kuna vitu vitakuwa vinapatikana zaid na pengne kwa wanaume havipo.. Wengne homon za kiume zimezid za kike wanajikuta wanatongoza w'ke wenzao, ucpokuwa makin na watu wa hvyo utajikuta kakuingiza kweny huo mchezo mchafu..!!
 
Back
Top Bottom