Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siku moja nilikua chuo kikuu fulani na wakapita wadada wawili na jamaa zangu wakadai ni mtu na mpenzi wake.nilishangaa kuona wanawake nao wanapendana wao kwa wao kama nchi za ulaya na marekani.tamaduni zetu zimeingiliwa sana, na hao wadada ni wazuri jamani.
Swali langu wadau ni kuwa, ina maana wanaume hawawatoshelezi ama kuna tatizo la kibaiologia katika miili yao?
Ushakulana ukwaju na mwenzio kwa muda gani
Thumbs up, Well said.Girls acheni kujitoa ufahamu kujishusha zaidi ya wanyama.
A lifetime of orgasms won't make up for the joy of having a husband and kids.
Stay fovused on the bigger picture and have the fear of God in your hearts.
Wacha waendelee kukoboana mpaka vitobo vizibe, ila duniani hakuna substitute ya muhogo aisee.
Niache kula raha nikapakane majasho na manzi!
Pyuuuu
Mwenzangu nani?
Ninavyoona unaitetea mada nikajua na wewe mwanachama huko kwenye team wasagaji
Kwani wanaotetea na kutoa msaada kwa watoto yatima na wajane na wao ni wajane pia?
Hao wanakuwa hawajakutana na mihogo ya uhakika..waache wahangaike...utakuta demu hajawahi kupigwa katerero,kusquirt ,kufika kileleni hata mara moja anasikia tu kwa watu...hivyo akichezewa na mwenzie akipata hiyo raha basi ndio anaona amefika....ni kwamba hawajapata kitu kizima !msiwalaumu siyo kosa lao....
Hahahahaha yule sura lake baya kama nyati
Siku moja nilikua chuo kikuu fulani na wakapita wadada wawili na jamaa zangu wakadai ni mtu na mpenzi wake.Nilishangaa kuona wanawake nao wanapendana wao kwa wao kama nchi za Ulaya na Marekani.Tamaduni zetu zimeingiliwa sana, na hao wadada ni wazuri jamani.
Swali Langu wadau ni kuwa, ina maana wanaume hawawatoshelezi ama kuna tatizo la kibaiologia katika miili yao?
Ahahahahaaa