Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,056
Malaika wana kazi sana
Kazi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malaika wana kazi sana
mimi ni ME mkuu. niliokota dodo kwenye muarobaini.
Wacha waendelee kukoboana mpaka vitobo vizibe, ila duniani hakuna substitute ya muhogo aisee.
Niache kula raha nikapakane majasho na manzi!
Pyuuuu
muwe mnapeana na mimba kabisa
Hata huyo uliyenaye siku akijaribu hataacha!
Hahahahaha umufilingeNatamani uni-PM, tupange ili nikufilinge sawa sawa tuone kama utarudi kwa huyo mke mwenzio, hebu njoo pm mamaaaa!!!!
rubii huwa unafanya huo mchezo?
Nipo tuwewe mtu upo
Nipo tu
Km mashoga wanahaki zao basi usishangae lesbian na Tz haijapitishwa hiyo sheria nimeshangaa unavyokubli eti mashog wana haki zao , means ukiobwa game unatoa
Hata huyo uliyenaye siku akijaribu hataacha!
Simple; wanume hawawatosheleziSiku Moja Nilikua Chuo Kikuu Fulani,na Wakapita Wadada Wawili Na Jamaa Zangu Wakadai Ni Mtu Na Mpenzi Wake.Nilishangaa Kuona Wanawake Nao Wanapendana Wao Kwa Wao Kama Nchi Za Ulaya Na Marekani.Tamaduni Zetu Zimeingiliwa Sana.Na Hao Wadada Ni Wazuri Jamani.Swali Langu Wadau Ni Kua,ina Mana Wanaume Hawawatoshelezi Ama Kuna Tatizo La Kibailogia Katika Miili Yao??
Na wengi wao huanzia huku! Kuna hoja kuwa tatizo ni kutoridhishwa na wanaume wao ...hii huwa naiona ina mchango mdogo sana...!Madhara ya shule za bwenu za jinsia moja. Wameanzia mbali hao.
Na wengi wao huanzia huku! Kuna hoja kuwa tatizo ni kutoridhishwa na wanaume wao ...hii huwa naiona ina mchango mdogo sana...!
Wengi wao hufanya kwakuwa ndio walivyo zoea na wanapenda! Mtu aliyezoea mwanaume ni vigumu kugeuka kuwa lesbian lakini mtu aliye zoea kufanya haya mambo kamwe awezi kuridhika lazima ataendelea tuu ata akipata mwanaume!
Mada za namna hii huamasisha zaidi kuliko kuelimisha..