Mwanamke anataka Tuzae kabla ya kufahamiana zaidi

Yaani mkuu unanifungua kitu sababu yeye katika maongezi Huwa namjaribu niende kwake Likizo nkakae hata Mwezi

Hataki anataka yeye ndio awe anakuja huku na anaharakisha mtoto nahisi nimfahamu wakati tayari Nina mtoto nae
Wasiwasi ni akili, kama hayuko tayari ufike kwake lakini anataka akupe cheo cha kuwa mzazi mwenzake utateseka sana, act like a man, usikubali analotaka, yeye afate unachotaka wewe kama hafati mpandishie vioo vuta na pazia wewe si sparms doner
 
Kitu kidogo tu unskuwa na majibu ya kike eti ngoja nijifikirie [emoji2][emoji2][emoji2] mwanaume maamuzi fasta km hutaki mwambie siwezi fuul stop
 
Miezi 8 sasa tunaomba mrejesho mkuuu
 
Hakikisha una mpima NGOMA.

Kuna watu wakitaka kukuunganisha kwenye Gridi atakuambia "Nipe mimba ".

Akijua, Mimba lazima upige pekupeku.

Lkn lkn nakuambia ukishamla kavukavu, anakimbilia P2.


STUKENI ENYI WAPUMBAVU
Naam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…