Mwanamke anayechepuka ni hatari kwa uhai wa mume wake kuliko hata wauaji wa kutumia silaha

Mwanamke anayechepuka ni hatari kwa uhai wa mume wake kuliko hata wauaji wa kutumia silaha

Mkuu tramadol, kama haya umeyatiririka kavukavu bila "kutazamia" seem, basi nikusifu kuwa wewe ni zaidi ya "jinias".
Mambo yote uliyoyaongea ni mambo halisi ambayo hayahitaji kusahihishwa.
Haya kayaandika professor wa social psychology wa Ohio State University sema tuu jamaa kafasiri na hajaonesha alikotoa au source. Huyu anaitwa Arkin R.M
 
Tafiti tafiti tafiti my foot!!!

Nyie halali kwetu haramu!!
G
Haramu tamu na bado mtatafiti sana usiposimamia show vizuri ukileta ujeuri ndani ni kuwaua tu ili usaidiwe uanaume wako vizuri,

Mliumbwa kwa mfano wa Mungu sasa mada zenu za kujiliza Liza humu mnamuaibisha aliyetoa wazo la nyie kuwa wa kwanza kuumbwa
EM hajambo ule michepuko wako Eng.
 
UPO SAWA MUUNGWANA!! [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Utafiti unaonyesha pia wachepukaji idadi yao inazidi kupungua kutokana na ugumu wa maisha
 
Back
Top Bottom