Mwanamke anayechepuka ni hatari kwa uhai wa mume wake kuliko hata wauaji wa kutumia silaha

Mkuu tramadol, kama haya umeyatiririka kavukavu bila "kutazamia" seem, basi nikusifu kuwa wewe ni zaidi ya "jinias".
Mambo yote uliyoyaongea ni mambo halisi ambayo hayahitaji kusahihishwa.
Haya kayaandika professor wa social psychology wa Ohio State University sema tuu jamaa kafasiri na hajaonesha alikotoa au source. Huyu anaitwa Arkin R.M
 
EM hajambo ule michepuko wako Eng.
 
UPO SAWA MUUNGWANA!! [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Utafiti unaonyesha pia wachepukaji idadi yao inazidi kupungua kutokana na ugumu wa maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…