Mwanamke anayechepuka ni hatari kwa uhai wa mume wake kuliko hata wauaji wa kutumia silaha

Mwanamke anayechepuka ni hatari kwa uhai wa mume wake kuliko hata wauaji wa kutumia silaha

hahahaha wewe soon unakula ban tena !ukweli nilishangaa sana yaan mn hatujaandika mabaya !argggghhhhhhhhh !kwahyo niseme ni WIVU ? hahahah mie simoo !unamchongea Inna ujue?? hahah tusamehe tuendelee na maisha !nimecheka sana
Cha ajabu ni kwamba watu wanatukana hawapati ban
Ila sitaingilia tena mambo yenu na Ivuga khaaa
 
Mke akianza kuchepuka ni maneno matatu tu FU KU ZA .
hayo sio maneno matatu ni SILABI tatu. Karibu ktk ulimwengu wa kiswahili mkuu. Naunga mkono hoja ila sharti nawewe mwanaume uwe msafi na hujawahi kutoka nje ya ndoa.
 
hayo sio maneno matatu ni SILABI tatu. Karibu ktk ulimwengu wa kiswahili mkuu. Naunga mkono hoja ila sharti nawewe mwanaume uwe msafi na hujawahi kutoka nje ya ndoa.
Two way traffic
 
hayo sio maneno matatu ni SILABI tatu. Karibu ktk ulimwengu wa kiswahili mkuu. Naunga mkono hoja ila sharti nawewe mwanaume uwe msafi na hujawahi kutoka nje ya ndoa.
Mwl wa Kiswahili safi sana.
 
Zaidi ya darasa ningeikosa hii ningeoungukiwa na uhai. Asante sana mtoa mada. Karibu tena kutulisha chakula cha ubongo.
 
Back
Top Bottom