Mshughulishaji
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 1,351
- 1,875
Nimekuelewa mkuu kwa asilimia za kutosha tu"Mwanaume anaweza kuchepuka na bado akawa na upendo wa dhati kwa mke wake lakini mwanamke hawezi kuchepuka na akaendelea kumpenda mume wake kwa dhati.Nasema hivi kwasababu mwanaume hafanyi tendo la ndoa kwa hisia, mwanamke hawezi kufanya tendo la ndoa bila hisia mguso.Ndiyo maana wanaume wanahitaji mahali pa kufanya tendo la ndoa ila wanawake wanahitaji sababu ya kufanya tendo la ndoa.
Mwanamume anachepuka kwa kutamani na wala sio kwa sababu ya kupenda ila Wanawake huchepuka kwa sababu wamependa kwa dhati toka moyoni.
Sent from my WAS-LX1 using JamiiForums mobile app
Sawa Mkuu, pamoja sana.Nimekuelewa mkuu kwa asilimia za kutosha tu
Naam Chifu.Huo ndio uhalisia wenyewe.Ni kweli kabisa kwani wanawake huongozwa na hisia na mara nyingi mwanamke anachepuka na mtu anayempenda lakini wanaume wanaongozwa na tamaa tu
Exactly. Maumbule ya mtu mume na Yale ya mke ni tofauti kabisa.kwahiyo wewe ukigegeda fresh akigegedwa mwenzio hatari....[emoji849]
kwahiyo dudu yenyewe haichovi uchafu??Exactly. Maumbule ya mtu mume na Yale ya mke ni tofauti kabisa. Wewe ukigegedwa jamaa ataacha uchafu wake ndani yako na nikitaka haki yangu Nitaendelea kujipakaa hilo janaba. Nadhani umenielewa.
Sent from my WAS-LX1 using JamiiForums mobile app
Nachojua Mwanamke anaweza akawa anagongwa na wajuba kama wote bila kuwapenda wala nini!,
Labda ulikuwa unamaanisha Wanawake wa Rússia mkuu?
Indeed [emoji109][emoji115]Every pusssy on this planet has a price...wee unachotakiwa kufanya ni kuwa na hela basi
Imagine mume simu ina password kwa screen...wasap anazo mbili...moja inafumguliwa na finger print[emoji16][emoji16]Mithali 31:10 nakuendelea
Kuna mstari unasema;
Mke mwema huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake (Yani including mumewe).
Sasa ewe Mwanamke inakuwaje mumeo awe na michepuko usijue tena kwa muda mrefu?
Tena wengine hadi mimba inategeshwa na mchepuko, inakuwa miezi 9,
Mtoto anazaliwa na kukua Mwaka wa kwanza na kuendelea lakini mke hujaweza kuwastukia?
Mnakwama wapi kina mama? [emoji2368][emoji2369]
Kuna mahusiano mengi mke ukiyawahi kuyastukia na kuwakomesha inaweza saidia mahusiano yao yasiweke mizizi na kumaliza rasilimali za familia.
Umeona eenhh?Ni kweli niliwahi kuwa na mchepuko mke wa mtu alikuwa ananisimulia Siri nyingi sana kuhusu nyumba Yao Hadi nikawa namkataza.
Amen,mama mchungaji.Mithali 31:10 nakuendelea
Kuna mstari unasema;
Mke mwema huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake (Yani including mumewe).
Sasa ewe Mwanamke inakuwaje mumeo awe na michepuko usijue tena kwa muda mrefu?
Tena wengine hadi mimba inategeshwa na mchepuko, inakuwa miezi 9,
Mtoto anazaliwa na kukua Mwaka wa kwanza na kuendelea lakini mke hujaweza kuwastukia?
Mnakwama wapi kina mama? [emoji2368][emoji2369]
Kuna mahusiano mengi mke ukiyawahi kuyastukia na kuwakomesha inaweza saidia mahusiano yao yasiweke mizizi na kumaliza rasilimali za familia.