Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,768
unanishauri nini...nije na hii au new member!Aaaaaa utakuja na id hii au new member?kama id hii pokea ombi langu kabisa
ombi lako limekuja kiukweli au kiutani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unanishauri nini...nije na hii au new member!Aaaaaa utakuja na id hii au new member?kama id hii pokea ombi langu kabisa
unanishauri nini...nije na hii au new member!
ombi lako limekuja kiukweli au kiutani?
sawa ngoja niandae maneno ya kuandika amuNjoo na hii miller utaonekana uko siriaz labda na mimi utanbadilisha mtzamo mabandiko ya humu,humu kuna bore new member tu ndo wanaotafutaga,expert ni miss natafuta tu labda na wewe ukija
sawa ngoja niandae maneno ya kuandika amu
aaaa sutibanie tuachie tujiokolee dogodogo sieSubir ukue kdgo kijana....mbona hujaonja hata ujana!!!
ndio, nikikosa maneno mazuri nitakosa kupata sasa!Aaaaaaa Miller bwana
Mtamuhudumia lakn!!?? Msije mkageuza chuma ulete wenuaaaa sutibanie tuachie tujiokolee dogodogo sie
Nakazia!1[emoji358]ushauri:
umri mzuri kwa mwanaume kuoa ni 29 and above.
kila la kheri.
Ww unadhani huwa wabatafuta nnMiller kwani una amini hawa huwa wanatafutaga wake kweli?
Nimepigilia msumari tena hapa kwa kukaziaushauri:
umri mzuri kwa mwanaume kuoa ni 29 and above.
kila la kheri.
Kuoa ni kuanzia miaka 30 kijana usijichanganye utajutia, chini ya hapo huwa tunadanganya tu tule mzigo