Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mwambieKuoa ni kuanzia miaka 30 kijana usijichanganye utajutia, chini ya hapo huwa tunadanganya tu tule mzigo
Miller kwani una amini hawa huwa wanatafutaga wake kweli?ushauri:
umri mzuri kwa mwanaume kuoa ni 29 and above.
kila la kheri.
Inategemeana,Kwa Sababu Binadamu Hatufanani.Miller kwani una amini hawa huwa wanatafutaga wake kweli?
Nishamwambia mkuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mwambie
Sasa wewe mvulana wa miaka 23 mhhhh ngoja nikuache mdogo wangu endelea na unachotaka kukifanyaInategemeana,Kwa Sababu Binadamu Hatufanani.
ndio au huwa wanafanya utani?Miller kwani una amini hawa huwa wanatafutaga wake kweli?
HahahaUtaoa dada zako humu 23 wenzio wako fesibuku
Aaaaaa utakuja na id hii au new member?kama id hii pokea ombi langu kabisandio au huwa wanafanya utani?
maana na mimi nina mpango wa kuleta bandiko humu...