FredMaria
Member
- Oct 2, 2020
- 53
- 55
Habari watu wa JF
Kama mada vile inasema, napata utata Sana kujua Mzunguko wa siku za mwenzangu baadhi ya watu niliokwisha uliza wanakuwa wakisema Mzunguko wake uko na siku 28 mwingine vile akisema uko na siku 31. Sasa nakua dilemma which is which.
Pia katika kupitia siku hizo za Mzunguko wa manzi yangu huyo ni vipi siku ziko naweza pata mtoto mvulana?
Kama mada vile inasema, napata utata Sana kujua Mzunguko wa siku za mwenzangu baadhi ya watu niliokwisha uliza wanakuwa wakisema Mzunguko wake uko na siku 28 mwingine vile akisema uko na siku 31. Sasa nakua dilemma which is which.
Pia katika kupitia siku hizo za Mzunguko wa manzi yangu huyo ni vipi siku ziko naweza pata mtoto mvulana?