Yani penzi langu lote limeishaDoh! Ulinielewa vibaya basi, niwie radhi ila siwezi kukuona boya. Ukweli msg haziji cjajua nini tatizo
me hata sijawai kumuona mkuu . anatusingizia huyoDadavua zaidi mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sawaYani penzi langu lote limeisha
mkuu mbona sijawai kuona ukitafuta mtu maana nina miaka mitatu humu natafutahata kama ukweli unauma ila ni zaidi ya dawa
[emoji124] [emoji124] [emoji124][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa
Hakika atapata kwa uwezo wa Mungu.Ila jamaa yupo serious, Mungu ampe hitaji la moyo wake.
Trapezaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wasukuma mna maumbo ya kupendeza sn
Unapenda ubuyu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakija wanasemaje?
Guu lako hatari ujueTrapezaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mbona sijui hilo [emoji144] [emoji144]Guu lako hatari ujue
Pale Kirumba soko la samaki unapigiwa miluzi mwanzo mwishoMbona sijui hilo [emoji144] [emoji144]
[emoji12] [emoji12] [emoji12]Pale Kirumba soko la samaki unapigiwa miluzi mwanzo mwisho
Haya mkuu nimekuelewa. Nisamehe. Ulikuwa mtazamo wangu.Kwa nini mnakatisha watu tamaa? Kwani walio huko mitaani hawatumii mitandao? Au wewe unaishi wapi mwenzetu kama sio mtaani? 43 ni mtu mzima na anajua nini anafanya, atleast mtakie kila la heri tu inatosha kha!
Nxt wik nkija tena ntarekodi video kbs watu waone humu[emoji12] [emoji12] [emoji12]
we mzushi tumkuu mbona sijawai kuona ukitafuta mtu maana nina miaka mitatu humu natafuta
No jambo Jema.Wajane,single mothers na warembo wengine kazi kwenu
HahahaUnapenda ubuyu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
SawaHahaha
Tulia hivyo hivyo.