Mwanamke anayejitambua aje PM

Mwanamke anayejitambua aje PM

daima17

Member
Joined
Feb 22, 2017
Posts
15
Reaction score
10
Salute wana-JF!

Yangu ni machache tu. Mimi ni mwanamume wa miaka 43. Nilioa tukaachana kutokana na matatizo ya ndoa [details nazihifadhi]. Tulijaliwa watoto 3. Siwezi kuishi maisha yangu yaliyosalia bila kuwa na mke. Hivyo basi naja mbele zenu nikijua ya kuwa ujumbe huu unaweza kuwa unamhusu mwanamke fulani. Maelezo zaidi kunihusu mimi:

- Mkristo, elimu ya Chuo kikuu
- Nimeajiriwa lakini pia napenda kufanya biashara

Mwanamke ninayemtafuta anaweza kuwa wa aina yoyote: mjane, aliyeachika, ambaye bado hata hajaolewa, mwenye mtoto, asiye na mtoto, n.k.

- Kikubwa kwangu nachokiangalia ni dhamira ya dhati ya kuamua kuishi maisha ya kifamilia, kuwa na mtizamo wa mbele.

Mrembo/mwenye umbo la kupendeza atapewa kipaumbele.

Njoo PM.
 
Nimekosa vigezo [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Angeona umbo lako angeongeza na kigezo ili uingie kwny list


Aniulize mm nliyeona picha yako
 
Mkuu hapa jf ujumbe kama huu unachukuliwa ki rahisi sana!

Dawa ni kuingia mtaani tu, kama huna muda wa kutosha, watumie ndugu zako.
 
Mkuu hapa jf ujumbe kama huu unachukuliwa ki rahisi sana!

Dawa ni kuingia mtaani tu, kama huna muda wa kutosha, watumie ndugu zako.
Wewe ndio unachukulia kirahisi, ila huenda huko PM kwa jamaa kumejaa
 
mimi ni mhanga, naogea kwa vigezo, nilitumia mda mrefu sana ktk hilo sikufanikiwa, japo pm ilijaa vibaya!!
wanakuja na style za kitapeli
 
Mtu akioa au kuolewa afu akaachwa au kuachika, na aliyemuacha au kuachwa yupo hai
Huyo mtu hafai kuolewa au kuoa,
Wajane sawa
 
Back
Top Bottom