Mwanamke anayejiweza kimaisha

Mwanamke anayejiweza kimaisha

  • Thread starter Thread starter JS
  • Start date Start date
i am oficially applying TO DIFFER WITH YOU!....
i mean hiyo ni ONESELF REACTION!....and guess what ni udhaifu mkubwa...
inaweza kuwa ni uamuzi sahihi lakini on the other hand sio sahihi(UNLESS YOU PROVE IT SCIENTIFICALLY)

kwasaabu gani....!wapo waliowafukuza wake zao kwa kuwafumania mara moja,AGAIN WALIKUJA KUOA WANAWAKE AMBAO WALIKUWA WANAWAFUMANIA MARA MOJA KILA WIKI!....the opposite is the case then!

lakini pia sijawahi kuona mwanamke anamtimua mwanaume ''chini ya jua''

najizungumzia mie hapa, nakutimua kabisa...na nimetoa mfano wa ndugu yangu naye alitimua mwanaume....
 
jamani hata wanaume huwa wananun! (off topic............nisije kupindisha mada husika)


kwa kukusaidia tu Teamo ..........ushahidi wa kisayansi upo

ScienceDirect - Ethology and Sociobiology : Mate selection criteria : : A pilot study

ScienceDirect - Journal of Experimental Social Psychology : What do men and women want in a partner? Are educated partners always more desirable?

ScienceDirect - Ethology and Sociobiology : Gender differences in mate selection criteria: Sociobiological or socioeconomic explanation?*1

i hope uko katika position ya kuweza kufungua na kusoma hizo papers zilizochapishwa kwenye international journals
 
Karibuni chakula cha mchana Kempinski...............kila kitu juu yangu........................:tongue::tongue::tongue::tongue::tongue:
Lunch pekee haitoshi...count me out...
 
najizungumzia mie hapa, nakutimua kabisa...na nimetoa mfano wa ndugu yangu naye alitimua mwanaume....
...hayo ni matokeo ya frustration!i no wonder.....

huyo nduguyo alikuwa na''lake jingine''.kwasababu kama kulikuwa na TRUE LOVE,hakuna biashara kama NAKUTIMUA!
 
...hayo ni matokeo ya frustration!i no wonder.....

huyo nduguyo alikuwa na''lake jingine''.kwasababu kama kulikuwa na TRUE LOVE,hakuna biashara kama NAKUTIMUA!

ndio mana hakuna formula kwenye mapenzi...ngoja niishie hapo ctaki kufika mbali na hilo....
 
the theory is no longer into application!.....
hiyo inafanana na zile theory za ''kazi ya mwanamke ni kunizalia watoto''

maisha yamebadilika kiongozi!.....

Yamebadilika lini wakati sisi hayo mabadiliko hatuyaoni? Mkuu hebu waulize watu wanaofanya sociological research wanapataje data kabla ku-prove au ku-disapprove theories? Simply aanawahoji watu na kupata majibu. Sasa mimi nakueleza kilichonitokea wewe unabisha? Basi tuletee hizo takwimu zako. Usihau kutuwekea sample size, p-value na 95% Confidence intervals!!
 
jamani hata wanaume huwa wananun! (off topic............nisije kupindisha mada husika)


kwa kukusaidia tu Teamo ..........ushahidi wa kisayansi upo

ScienceDirect - Ethology and Sociobiology : Mate selection criteria : : A pilot study

ScienceDirect - Journal of Experimental Social Psychology : What do men and women want in a partner? Are educated partners always more desirable?

ScienceDirect - Ethology and Sociobiology : Gender differences in mate selection criteria: Sociobiological or socioeconomic explanation?*1

i hope uko katika position ya kuweza kufungua na kusoma hizo papers zilizochapishwa kwenye international journals
ha ha ha ha!....
 
jamani hata wanaume huwa wananun! (off topic............nisije kupindisha mada husika)


kwa kukusaidia tu Teamo ..........ushahidi wa kisayansi upo

ScienceDirect - Ethology and Sociobiology : Mate selection criteria : : A pilot study

ScienceDirect - Journal of Experimental Social Psychology : What do men and women want in a partner? Are educated partners always more desirable?

ScienceDirect - Ethology and Sociobiology : Gender differences in mate selection criteria: Sociobiological or socioeconomic explanation?*1

i hope uko katika position ya kuweza kufungua na kusoma hizo papers zilizochapishwa kwenye international journals
VERY UNPRACTICAL!....
wadanganye wanao danganyika!
mi sidanganyiki kwa ma-journal ya ajabu ajabu
 
Huyu hata kwenye malumbano anahitaji SCIENTIFIC PROOF!

Labda anajitahidi kuisahau lunch. Amenikumbusha siku zile tuna-abstain msosi kusogeza siku karibu na mwisho wa mwezi ili kichele kitoke!
 
VERY UNPRACTICAL!....
wadanganye wanao danganyika!
mi sidanganyiki kwa ma-journal ya ajabu ajabu

baada ya kufika hapo naomba tu nikuwache uendelee ..........mi na wewe tunaongea katika wavelengths tofauti kumbe! 😀
 
jamani hata wanaume huwa wananun! (off topic............nisije kupindisha mada husika)


kwa kukusaidia tu Teamo ..........ushahidi wa kisayansi upo

ScienceDirect - Ethology and Sociobiology : Mate selection criteria : : A pilot study

ScienceDirect - Journal of Experimental Social Psychology : What do men and women want in a partner? Are educated partners always more desirable?

ScienceDirect - Ethology and Sociobiology : Gender differences in mate selection criteria: Sociobiological or socioeconomic explanation?*1

i hope uko katika position ya kuweza kufungua na kusoma hizo papers zilizochapishwa kwenye international journals

AHSANTE KWA KUMTAFUTIA scientific proof KIJANA WANGU. Ila pole sana, mahangaiko yoko umepoteza muda bure....... Asome? Kuna ma equations humo? Kuna maintagresheni na madiferensiesheni? Kuna kupruvu bai mathematiko indaksheni? Hamna? Umeliwa.

Kama kuna mangwini humo ujue kijana atayapotezea na kuendelea na shughuli zake za infidelizesheni.
 
Yamebadilika lini wakati sisi hayo mabadiliko hatuyaoni? Mkuu hebu waulize watu wanaofanya sociological research wanapataje data kabla ku-prove au ku-disapprove theories? Simply aanawahoji watu na kupata majibu. Sasa mimi nakueleza kilichonitokea wewe unabisha? Basi tuletee hizo takwimu zako. Usihau kutuwekea sample size, p-value na 95% Confidence intervals! !
ha ha ha!
sasa dc naona unaelekea kuliko sahihi....!
umeyaelezea mambo yaliyokutokea wewe,KWAMBA WEWE KWA MAANA YA WEWE...!lakini mimi halikunitokea hilo,likewise nyamayao,carmel,js et al!HOW CAN WE ESTABLISH IT AS A THEORY?

mi naweza kushusha takwimu...wewe takwimu....asprin takwimu...gaijin atacopy na kupaste majournal ya wadhungu.....nyamayao takwimu

TATIZO LINAKUJAJE....!HIZO TAKWIMU HAZIFANANI
 
baada ya kufika hapo naomba tu nikuwache uendelee ..........mi na wewe tunaongea katika wavelengths tofauti kumbe! 😀
bora umeliona hilo....
WE ARE OUT OF PHASE BY 180-degree
 
kwa utaalamu wa gaijin wa kutumia mitandao vibaya naweza kudisplay 50 successive marriages (PRACTICAL ONES) ambazo wanawake ni matajiri wakubwa!kwasababu ni swala la kutype tu na ku-search.

sasa huyu anakuja na maungwini page miambili lol!:rip::rip::rip:
 
kama ushahidi wa journals za international huutaki, usingezungumzia suala la sayansi.....


ukweli utabaki vile vile kama ulivyothibitishwa na wazungu male prefer wanawake wenye Social and Economical Satus ya chini kuliko wao...........
 
teamo ndio maana nikaja na reputable journal papers kwa sababu sikutaka kukuletea ushahidi wa net tu wowote (wewe kama teamo unaweza kukataa ushahidi huo, lakini usidanganye umma kuwa hizo si reputable journals)
.......................wewe lete ushahidi wa kutoka kwenye journal papers pia kama unao......but i guess not! 😀
 
kama ushahidi wa journals za international huutaki, usingezungumzia suala la sayansi.....


ukweli utabaki vile vile kama ulivyothibitishwa na wazungu male prefer wanawake wenye Social and Economical Satus ya chini kuliko wao...........
SHIDA INAANZIA HAPA!...
na kwakweli watanzania wengi wanaangamia kwasababu shida inaanzia hapo....!

wazungu wenu wamewaandikia pia kwenye ma-journal NDOA ZA WANAUME KWA WANAUME NI RUXA...!lakini kwasababu ni wazungu POA!

watu kama ninyi endeleeni tu kubeba box...!msije bongo
 
Back
Top Bottom