WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 963
Kuna mdada alijifukarisha baada ya kuona hapati mchumba. Aliuza gari lake, nyumba na mali nyingine ili apate mchumba!
Haya mambo ni magumu jamani tusifanye mzaha.Ila binafsi sitamshauri mdada ajifanye maskini kisa kakosa mwanaume. Kama alivyosema Boss hapo juu, inategemea mu na mtu. Wapo wenye uchache na hawaoni kama ni ishu.Inapokuja mahusiano, huwa tayari kupenda kwa misingi ile ile ambayo ingetawala uhusiano hata pale hakuna mali wala nini.
unajua wos funny thing haya mambo
wanaume ndio huwa tunakumbana nayo sana...
i mean ukiwa na pesa its tough sometimes kujua
unapendwa kweli au umeopoa a gold digger????
yaani mwanamke mwenye pesa atakuwa hapati mchumba..
but mwanaume mwenye pesa utapata wengi,but huwezi jua which one
is for real.....unaona?????
Wewe hujaelewa nilichoandika hapo hebu soma tena vizuri halafu kama umeelewa nigongee thanks kwa this post then nitakuPM sawa...........haya am waiting
.......mhhh inawezekana kuna kaukweli fulani kwamba mwanamke ukiwa na pesa/mali kupata mwanaume makini wa kutangaza nia kazi. Sio kwamba hupati wanaume kabisa hapana, wanaume watakuja kwako lakini wengi wao wanaogopa wakiona binti amejitosheleza kwa kila kitu.
......kuna mdada naye hivyo hivyo umri wake sasa ni 35, ana kazi nzuri kwenye shirika kubwa na mshahara mzuri, usafiri wa maana na nyumba yake ya maana lakini masikini hapati mwanaume wa kumuoa........mwenyewe utakuta analalamika tena anasema kabisa watoto wadogo mnaolewa lakini yeye hapati mume.yaani huyu mdada ana tabia nzuri na mpole lakini wanaume wanamuogopa kwa uwezo aliokuwa nao. Labda siku moja atakuja kupata mume mie huwa namuonea huruma.
.......Mhhh inawezekana kuna kaukweli fulani kwamba mwanamke ukiwa na pesa/mali kupata mwanaume makini wa kutangaza nia kazi. Sio kwamba hupati wanaume kabisa hapana, wanaume watakuja kwako lakini wengi wao wanaogopa wakiona binti amejitosheleza kwa kila kitu.
......Kuna mdada naye hivyo hivyo umri wake sasa ni 35, ana kazi nzuri kwenye shirika kubwa na mshahara mzuri, usafiri wa maana na nyumba yake ya maana lakini masikini hapati mwanaume wa kumuoa........mwenyewe utakuta analalamika tena anasema kabisa watoto wadogo mnaolewa lakini yeye hapati mume.Yaani huyu mdada ana tabia nzuri na mpole lakini wanaume wanamuogopa kwa uwezo aliokuwa nao. Labda siku moja atakuja kupata mume mie huwa namuonea huruma.
samahani lakini eti the boss iyo avatar yako,kweli?
- Kusema ukweli mimi nikiwa kama mzazi sikubali mwanangu awe na Kauwezo kake halafu anapata mwanaume mlofa kisha nimkubalie aoe mwanangu,NEVER sikubali kbs. Lofa atafute malofa wenzie Na huo ndio ukweli vinginevyo ndoa hiyo haitadumu. tumeshuhudia ndoa nyingi sana za aina hiyo.
- Turudi kwenye mpango wa Mungu ni kwamba Mwanaume ndo anaetakiwa kumtunza na kumpenda mke. Mke yeye kazi yake ni kumheshimu na kumtii tu.:smile-big:
Wanaume tupo tofauti sana...
Mimi binafsi wanawake wenye pesa ndio ambao huwa
wanani turn on big time.....
Why?
Kwa sababu nikimpata nitajua kuwa hakuvutiwa
na pesa kwangu
pili nitajiona mwanaume hasa kwa kumpata
mwanamke mwenye pesa ambae probably atakuwa anaringa
na wanaume wengine wanamuogopa....
But baadgi ya wanawake wenye pesa wana matatizo ya kupenda
ku control wanaume....so thats why...
Kwa ujumla awe na pesa asiwe na pesa mimi huwa
sitishiki.....
- Kusema ukweli mimi nikiwa kama mzazi sikubali mwanangu awe na Kauwezo kake halafu anapata mwanaume mlofa kisha nimkubalie aoe mwanangu,NEVER sikubali kbs. Lofa atafute malofa wenzie Na huo ndio ukweli vinginevyo ndoa hiyo haitadumu. tumeshuhudia ndoa nyingi sana za aina hiyo.
- Turudi kwenye mpango wa Mungu ni kwamba Mwanaume ndo anaetakiwa kumtunza na kumpenda mke. Mke yeye kazi yake ni kumheshimu na kumtii tu.:smile-big:
Wanaume tupo tofauti sana...
Mimi binafsi wanawake wenye pesa ndio ambao huwa
wanani turn on big time.....
Why?
Kwa sababu nikimpata nitajua kuwa hakuvutiwa
na pesa kwangu
pili nitajiona mwanaume hasa kwa kumpata
mwanamke mwenye pesa ambae probably atakuwa anaringa
na wanaume wengine wanamuogopa....
But baadgi ya wanawake wenye pesa wana matatizo ya kupenda
ku control wanaume....so thats why...
Kwa ujumla awe na pesa asiwe na pesa mimi huwa
sitishiki.....
WOS umeongea point i muhimu, lakini wengine wanaipata chenji mapema sana...........mtu 25 anakuwa mambo yake mazuri tayari, by the time akifika 27 wanaume wanampiga chenga hata kumsogelea hawamsogelei.🙁
noname hamna kuacha kutafuta pesa kwa kuogopa insecurities za wanaume, atatokea tu atakaekupenda wewe na pesa zako japo itachukua muda kidogo.
kwahiyo mwanamke aache kila kitu kwa ajili ya kuolewa au just to help guys with their insecurity problem?