WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 963
Kuna mdada alijifukarisha baada ya kuona hapati mchumba. Aliuza gari lake, nyumba na mali nyingine ili apate mchumba!
Haya mambo ni magumu jamani tusifanye mzaha.Ila binafsi sitamshauri mdada ajifanye maskini kisa kakosa mwanaume. Kama alivyosema Boss hapo juu, inategemea mtu na mtu. Wapo wenye uchache na hawaoni kama ni ishu.Inapokuja mahusiano, huwa tayari kupenda kwa misingi ile ile ambayo ingetawala uhusiano hata pale hakuna mali wala nini.
Haya mambo ni magumu jamani tusifanye mzaha.Ila binafsi sitamshauri mdada ajifanye maskini kisa kakosa mwanaume. Kama alivyosema Boss hapo juu, inategemea mtu na mtu. Wapo wenye uchache na hawaoni kama ni ishu.Inapokuja mahusiano, huwa tayari kupenda kwa misingi ile ile ambayo ingetawala uhusiano hata pale hakuna mali wala nini.