JS:
Of all the ppl, I never imagined that you are still "single"!
Anyways endelea kupambana tu kwani hata Oprah alishawahi kuolewa!
umeongea mkuu.........Hivi mwanamke anaekulea hata akichelewa kurudi home utasubutu hata kumkolomea..Hapo komredi inatakiwa kumega na kulala mbele, alafu unamchuna kweli kweli huku ukiwekeza kwenu.
Kweli kabsaa!! unajua hapa wanao tetea hoja ni kwamba wanashindwa kutofautisha..maana kuna yule mnaoa then katika maisha kutokana na hali yeye anapata kipato zaidi na mambo yanamnyookea hapo kwa sasbabu mpo kwenye ndoa nyodo zinapungua!! Ila hawa ambao unaoa kabsaa na kukuta mambo safi asee Nyodo zinazidi sana! Kuna msela wangu ana demu anazo siku iyo bana kaazima mkoko wa demu asee si tukapitia maeneo muda demu akampigia simu dah acha tu!! ilibidi turudishe gari la watu na sisi kuchukua teksi then tukaendelea kupat kilaji chetu kwa raha!! We demu mwenye nazo sio mwenzo asee!!
Leo nimeuliza nikajibiwa eti ni fashen....😎Hapo kwenye gari, jamani naomba kuuliza kwa nini kina dada/mama wengi wanaondesha magari wanavaaa miwani kubwa ya jua (tinted) hata kama alikuwa havai zamani? kuna siri gani hapo?
hahaha hommie naona unatafuta ugomvi hapa!! Ishakua fasheni hii mwanawane dah sasa kuna miwani mingine bana yani unabaki kucheka tu!!hommie.....now this is disgusting isnt it? nadhanai hizi nyodo ndo watu wakiziopgopa!
La msingi nadhani ni wote kuanzia from scratch hapo hata zikipatikana baadaye mnajua zinapatikana ndani ya ndoa hapo mpo wawili so hakuna shida saaana
Tatizo kwa sasa ni kwamba baadhi ya kina dada wakiwa nazo kidogo (wengine kwa kuhongwa na siye) basi full manyodo mtaani, sasa vijana lazima waogope...HAKUNA MWANAUME ANAYEPENDA KUJISIKIA INSECURE KWENYE RELATIONSHIP....
Hapo kwenye gari, jamani naomba kuuliza kwa nini kina dada/mama wengi wanaondesha magari wanavaaa miwani kubwa ya jua (tinted) hata kama alikuwa havai zamani? kuna siri gani hapo?
Wengi tunaowaona mtaani wana matatizo JS,sijawahi ona wa afadgali kati ya zaidi ya kumi ninaowafahamu,na ukiona wanadumu na wapenzi wao ujue kuwa wapenzi wao hukubaliana na kila watakalo,kuna siku nilikuwa muziki na mmoja wao akiwa na husband wake ile hus kwenda ****** na kukutana na dada wanayefahamiana na kuanza salimiana ilikuwa kosa kubwa,jamaa kufika tu akaambiwa twende nyumbani,ile jamaa kugoma tu akarushiwa msimbazi wawili na kuambiwa achukue taxi wakati anarudi,bibie akaondoka na mkoko wake taratibu!!!!!!!!!!!!Iliniuma sanaI beg to contradict with your view. Sio wote wenye nazo wana matatizo. unajua pia inategemea na mtu.
:A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee:Wandugu za leo,
Hivi ukikutana na mwanamke umempenda na unatamani awe wako wa milele (kumuoa) lakini unakuta bahati nzuri (au mbaya kwa wengine) huyo mwanamke yuko safi kimaisha kazi nzuri kama pesa anazo kama mali anazo pia (sio hawa wamama watu wazima hapana wadada tu wenye umri unaofaa kuolewa) utamuoa hata kama wewe huna thamani ya kiuchumi aliyo nayo?
kwa nini nimeuliza hivi, kwa sababu katika mazungumzo ya kawaida tu jana kuna rafiki yangu akaniambia watu wataogopa kutangaza nia kwangu nikiendelea kujijenga kimaisha and it got me thinking.
Sasa wanaume utamuoa tu huyo dada hata kama wewe hali yako si fresh? na wadada utakuwa bread provider kwa huyo mumeo? mapenzi yana nafasi yake na pia uwezo kiuchumi una nafasi. zamani haikuwa hivi lakini kadri siku zinavyozidi kusonga mbele mambo yanabadilika
hebu waambie Gaijin naona hawaelewi hawa kina Fidel
Hapo kwenye gari, jamani naomba kuuliza kwa nini kina dada/mama wengi wanaondesha magari wanavaaa miwani kubwa ya jua (tinted) hata kama alikuwa havai zamani? kuna siri gani hapo?
Leo nimeuliza nikajibiwa eti ni fashen....😎
hahaha hommie naona unatafuta ugomvi hapa!! Ishakua fasheni hii mwanawane dah sasa kuna miwani mingine bana yani unabaki kucheka tu!!
JS jua linakuwa kali wakiwa kwenye gari au hata wakati wanasaga lami kabla ya kupata hayo magari kutoka Autorec au Japanesvehicle.com?Wanazuia jua jamani na siri ni urembo....................:tongue:
Ushaanza mambo yako...........kwa sababu Fidel anakataa kwamba anaweza kukutana na mdada ambaye mambo safi na wala asimnyanyase instead akampa raha zaidi
hahahaha kiongozi naona umegonga ikulu!!:nod:JS jua linakuwa kali wakiwa kwenye gari au hata wakati wanasaga lami kabla ya kupata hayo magari kutoka Autorec au Japanesvehicle.com?