Mwanamke anayejiweza kimaisha

Mwanamke anayejiweza kimaisha

  • Thread starter Thread starter JS
  • Start date Start date
dah..whataver happened to 'women emancipation'....hivi ndo mojawapo ya translation zake eeh?

dah....


Aaaaaaaaaa Kaizer mbona hivyo? halafu sijakuelewa kuhusu miwani ya jua hebu elezea zaidi....
 
hahahaha kiongozi naona umegonga ikulu!!:nod:

Hayo ndiyo yanayowafanya baadhi ya mbayu wayu kutimka mapema. Mtu anakuwa mpole, lugha nzuri wakati anasaga lami. Ila anapopata kazi nzuri mahali na kupanga apartment + mchuma, hata lugha inabdilika kabisa. Hiyo miwani wanavaa hata saa 2 usiku. Ni ya jua kweli na mtangazi kuwa hapo shida hakuna tena?
 
Linakuwa kali kotekote kwenye gari binafsi kwenye lami kwenye daladala

Aaaaaaaaaa Kaizer mbona hivyo? halafu sijakuelewa kuhusu miwani ya jua hebu elezea zaidi....


Apo mdogo wangu mwogope Mungu (japo najua huvai) lakini kweli kwenye gari kunakuwa na jua? mbona basi magari mengi yanayoendeshwa hapa sio convertibles? Mtu unakuta yupo kwanye Rav 4 ya kawaida tu or whatever, yenyewe vioo ni tinted, na mtu kavaa miwani ya jua, na pengine hata siku hiyo hakuna jua!

the other thing is hamshangai wanaume hawavai? na kwa nini iwe tu pale mtu anapopata mkoko kabla unakuta yuko kawaida tu wala havai miwani....na je daktari anakuwa amewapima jamani?
 
dah...halafu hapa naona pameshakuwa 'pa moto' ngoja nisepe kwanza......(JS nicheki baadaye kwa afya zetu)
 
I need a girl to ride ride ride
I need girl to make my wife
 
Hayo ndiyo yanayowafanya baadhi ya mbayu wayu kutimka mapema. Mtu anakuwa mpole, lugha nzuri wakati anasaga lami. Ila anapopata kazi nzuri mahali na kupanga apartment + mchuma, hata lugha inabdilika kabisa. Hiyo miwani wanavaa hata saa 2 usiku. Ni ya jua kweli na mtangazi kuwa hapo shida hakuna tena?


Come on Dark City just loosen up a little kwa ndugu zako wa kike. Kwani miwani ya jua nayo inakuwa issue tena wajameni??
Huyo anayevaa usiku naye hayuko sawa kwa kweli.
 
Apo mdogo wangu mwogope Mungu (japo najua huvai) lakini kweli kwenye gari kunakuwa na jua? mbona basi magari mengi yanayoendeshwa hapa sio convertibles? Mtu unakuta yupo kwanye Rav 4 ya kawaida tu or whatever, yenyewe vioo ni tinted, na mtu kavaa miwani ya jua, na pengine hata siku hiyo hakuna jua!

the other thing is hamshangai wanaume hawavai? na kwa nini iwe tu pale mtu anapopata mkoko kabla unakuta yuko kawaida tu wala havai miwani....na je daktari anakuwa amewapima jamani?

Mambo ya tamthilia za kilatino na cinema za holiwudi. Lakini wanasaidia vijana kupata ajira [Chingaz]
 
Apo mdogo wangu mwogope Mungu (japo najua huvai) lakini kweli kwenye gari kunakuwa na jua? mbona basi magari mengi yanayoendeshwa hapa sio convertibles? Mtu unakuta yupo kwanye Rav 4 ya kawaida tu or whatever, yenyewe vioo ni tinted, na mtu kavaa miwani ya jua, na pengine hata siku hiyo hakuna jua!

the other thing is hamshangai wanaume hawavai? na kwa nini iwe tu pale mtu anapopata mkoko kabla unakuta yuko kawaida tu wala havai miwani....na je daktari anakuwa amewapima jamani?

Ndo hapo mkuu. Wanapeperusha ndege mapema na kuanza kulalamika.

Gaijin amesema kuwa kuna wadada wengine wana pesa ila wana tabia njema. Sipingani naye, ila walio wengi pesa inakuwa kama vile wanabwia unga. Yaani hawashikiki kabisa. Labda mwanamume atumie mkno wa chuma kumshikisha adabu vinginevyo ni hatari!
 
1. Sio wanawake wote wako hivyo
2. Wanaume wanaonyanyasika wameolewa hawajaoa/walitongozwa na kushawishiwa kifedha na sio kimapenzi ya dhati
3. inategemea utajiri wa huyo dada aliupataje kama aliupata kinyume cha maadili e.g kujiuza unategemea asikunyanyase?
 
Apo mdogo wangu mwogope Mungu (japo najua huvai) lakini kweli kwenye gari kunakuwa na jua? mbona basi magari mengi yanayoendeshwa hapa sio convertibles? Mtu unakuta yupo kwanye Rav 4 ya kawaida tu or whatever, yenyewe vioo ni tinted, na mtu kavaa miwani ya jua, na pengine hata siku hiyo hakuna jua!

the other thing is hamshangai wanaume hawavai? na kwa nini iwe tu pale mtu anapopata mkoko kabla unakuta yuko kawaida tu wala havai miwani....na je daktari anakuwa amewapima jamani?

Kaizer ndani ya gari hakuna jua ila kuna saa unakuta jua linapiga kiasi kwamba hata kile cha kuzuia jua pale juu kinakuwa hakisaidii, sasa kama ana miwani kwa nini asivae kuzuia??
na wakaka/wanaume kibao wanavaa sia subuhi si mchana si jioni jamaa yuko ndani ya "shades" (ndo wanavyoziita wajanja wa mjini).
 
Back
Top Bottom