Mwanamke anayejiweza kimaisha

Mwanamke anayejiweza kimaisha

  • Thread starter Thread starter JS
  • Start date Start date

JS

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2009
Posts
2,064
Reaction score
504
Wandugu za leo,

Hivi ukikutana na mwanamke umempenda na unatamani awe wako wa milele (kumuoa) lakini unakuta bahati nzuri (au mbaya kwa wengine) huyo mwanamke yuko safi kimaisha kazi nzuri kama pesa anazo kama mali anazo pia (sio hawa wamama watu wazima hapana wadada tu wenye umri unaofaa kuolewa) utamuoa hata kama wewe huna thamani ya kiuchumi aliyo nayo?

kwa nini nimeuliza hivi, kwa sababu katika mazungumzo ya kawaida tu jana kuna rafiki yangu akaniambia watu wataogopa kutangaza nia kwangu nikiendelea kujijenga kimaisha and it got me thinking.

Sasa wanaume utamuoa tu huyo dada hata kama wewe hali yako si fresh? na wadada utakuwa bread provider kwa huyo mumeo? mapenzi yana nafasi yake na pia uwezo kiuchumi una nafasi. zamani haikuwa hivi lakini kadri siku zinavyozidi kusonga mbele mambo yanabadilika
 
kwa nini nimeuliza hivi, kwa sababu katika mazungumzo ya kawaida tu jana kuna rafiki yangu akaniambia watu wataogopa kutangaza nia kwangu nikiendelea kujijenga kimaisha and it got me thinking.

Haya bana.....
 
Wandugu za leo,

Hivi ukikutana na mwanamke umempenda na unatamani awe wako wa milele (kumuoa) lakini unakuta bahati nzuri (au mbaya kwa wengine) huyo mwanamke yuko safi kimaisha kazi nzuri kama pesa anazo kama mali anazo pia (sio hawa wamama watu wazima hapana wadada tu wenye umri unaofaa kuolewa) utamuoa hata kama wewe huna thamani ya kiuchumi aliyo nayo?

kwa nini nimeuliza hivi, kwa sababu katika mazungumzo ya kawaida tu jana kuna rafiki yangu akaniambia watu wataogopa kutangaza nia kwangu nikiendelea kujijenga kimaisha and it got me thinking.

Sasa wanaume utamuoa tu huyo dada hata kama wewe hali yako si fresh? na wadada utakuwa bread provider kwa huyo mumeo? mapenzi yana nafasi yake na pia uwezo kiuchumi una nafasi. zamani haikuwa hivi lakini kadri siku zinavyozidi kusonga mbele mambo yanabadilika


Kama ulivyosema, mapenzi yana nafasi yake na mali zina nafasi yake. Kama huyo dada ana nafasi ya kujiimalisha ki-kipato yeye ajiendeleze tu. Aendelee kumwomba Mwenyezi Mungu kama ni wa kuolewa ataolewa tu, bwana awe na pesa za kumzidi na au hata kama hana pesa kabisa, kama wakipendana wataoana, na yeye kama ni mjasiriamali atamfundisha mume wake jinsi ya kupata pesa kama ni elimu yake ndo inamfanya afanikiwe basi itabidi amsaidie mume kwa kumpa mtaji na yeye angalau apate vijisenti. Pesa ni pesa na mapenzi ni mapenzi, mapenzi hayachagui tajiri au masikini yenyewe yapo tu. Achana na hiki kitu kinaitwa mapenzi, hata uwe na pesa kiasi gani kama hauna mapenzi ni bure. Na yeye pia hasiogope kutafuta pesa eti kisa hatapata mume. Je? Hakiacha kutafuta hizo pesa na mume pia hasijitokeze? Haoni kuwa atakuwa amekosa bara na pwani!!!!
 
Wandugu za leo,

Hivi ukikutana na mwanamke umempenda na unatamani awe wako wa milele (kumuoa) lakini unakuta bahati nzuri (au mbaya kwa wengine) huyo mwanamke yuko safi kimaisha kazi nzuri kama pesa anazo kama mali anazo pia (sio hawa wamama watu wazima hapana wadada tu wenye umri unaofaa kuolewa) utamuoa hata kama wewe huna thamani ya kiuchumi aliyo nayo?

kwa nini nimeuliza hivi, kwa sababu katika mazungumzo ya kawaida tu jana kuna rafiki yangu akaniambia watu wataogopa kutangaza nia kwangu nikiendelea kujijenga kimaisha and it got me thinking.

Sasa wanaume utamuoa tu huyo dada hata kama wewe hali yako si fresh? na wadada utakuwa bread provider kwa huyo mumeo? mapenzi yana nafasi yake na pia uwezo kiuchumi una nafasi. zamani haikuwa hivi lakini kadri siku zinavyozidi kusonga mbele mambo yanabadilika

Wadada wenye pesa na hali nzuri mm nawaogopa sana.
Kuna ndugu na rafiki zangu kadhaa walibahatika kuoa wadada wa design hii leo wanalia na kusaga meno, wadada tuongee ukweli wakiwa na pesa na wakiolewa jamaa kaja kaona mafanikio kama hayo jiulize nn kitatokea kwa mdau??? Muulize Teamo na Asprin
 
JS wengi watakuogopa lkn atatokea tu 'jasiri' akupende Kama ulivyo na mali mali zako. Na atakuendesha na kuwa kichwa ya familia bila ya kuudhiwa na Mali zako

kaza buti mwaya..... Jijenge usisubiri kuolewa
 
Wadada wenye pesa na hali nzuri mm nawaogopa sana.
Kuna ndugu na rafiki zangu kadhaa walibahatika kuoa wadada wa design hii leo wanalia na kusaga meno, wadada tuongee ukweli wakiwa na pesa na wakiolewa jamaa kaja kaona mafanikio kama hayo jiulize nn kitatokea kwa mdau??? Muulize Teamo na Asprin
Fidel hapo umenena.Wadada wa siku hizi hasa wenye nazo ni matatizo mtindo mmoja na wengi hawana heshima kabisa,unaweza kuwa nae kwa mapenzi yote lakini mwisho wa siku atakuja kukuumiza tu na inapofikia mkigombana ndio kabisa atakwambia uchukue time kwani hana shida na wewe ulikuwa ni mzigo kwake.
Kwanza wadada wa dizaini hii huwa ni ngumu sana kuolewa na hata kudumu katika mahusiano.
 
Men are scared to bet on their balls :A S wink:
 
Aaah nipo bana lakini ndo hivyo nimefulia....

Halafu kumbe una hela wewe eeeh.....saidia maskini basi hapa....

Hahahahaha mzee unatangaza njaa kabisa.
Angalia hawa wenye mkwanja huwa wanyanyasaji sana hawakawii kukutupia vilago.
 
JS wengi watakuogopa lkn atatokea tu 'jasiri' akupende Kama ulivyo na mali mali zako. Na atakuendesha na kuwa kichwa ya familia bila ya kuudhiwa na Mali zako

kaza buti mwaya..... Jijenge usisubiri kuolewa

sasa hivi mie natamani ningejijenga kabla ya kuolewa, ukishaolewa mambo yataenda cvyo ndivyo kabisa, majukumu yanakuwa mengi sana sasa hivi nafanya mambo mengi pesa kidunchu bac full mawazo...jijenge JS atatokea mpenda maendeleo mwenzio mtaenda sawa kabisa.
 
Hahahahaha mzee unatangaza njaa kabisa.
Angalia hawa wenye mkwanja huwa wanyanyasaji sana hawakawii kukutupia vilago.

sio wote na wengine mnasababisha nyie, ukae kwangu nikusaidie hili na lile bado nijue unanichezea rafu...nakutimua faster.
 
Hahahahaha mzee unatangaza njaa kabisa.
Angalia hawa wenye mkwanja huwa wanyanyasaji sana hawakawii kukutupia vilago.

Hawa wenye kisu inabidi uwe mjanja jinsi ya kudili nao....unamtumia kwa muda tu halafu unasepa. Ukiweka maskani kwa muda mrefu watakufanya mtumwa....ogopa sana hawa kina JS...
 
Fidel hapo umenena.Wadada wa siku hizi hasa wenye nazo ni matatizo mtindo mmoja na wengi hawana heshima kabisa,unaweza kuwa nae kwa mapenzi yote lakini mwisho wa siku atakuja kukuumiza tu na inapofikia mkigombana ndio kabisa atakwambia uchukue time kwani hana shida na wewe ulikuwa ni mzigo kwake.
[SIZE=2[COLOR=Red]]Kwanza wadada wa dizaini hii huwa ni ngumu sana kuolewa na hata kudumu katika mahusiano.[/COLOR]
[/SIZE]

Atatumia pesa yake kama bakora kukuadhibu na kama ndo unaishi kwake dah unakuwa mtumwa nimeshuhudia jamaa zangu
 
Fidel hapo umenena.Wadada wa siku hizi hasa wenye nazo ni matatizo mtindo mmoja na wengi hawana heshima kabisa,unaweza kuwa nae kwa mapenzi yote lakini mwisho wa siku atakuja kukuumiza tu na inapofikia mkigombana ndio kabisa atakwambia uchukue time kwani hana shida na wewe ulikuwa ni mzigo kwake.
Kwanza wadada wa dizaini hii huwa ni ngumu sana kuolewa na hata kudumu katika mahusiano.

I beg to contradict with your view. Sio wote wenye nazo wana matatizo. unajua pia inategemea na mtu.
 
Aaah nipo bana lakini ndo hivyo nimefulia....

Halafu kumbe una hela wewe eeeh.....saidia maskini basi hapa....

Sina hela ila naweza kushare na wewe chochote nilichonacho
 
JS wengi watakuogopa lkn atatokea tu 'jasiri' akupende Kama ulivyo na mali mali zako. Na atakuendesha na kuwa kichwa ya familia bila ya kuudhiwa na Mali zako

kaza buti mwaya..... Jijenge usisubiri kuolewa
Gaijin, asikwambie mtu, the more successful a woman becomes, the lesser chance of having a right candidate. Hii ni nature yetu wanaume kwani pamoja na mapenzi kuna ile sense ya kuwa protector inakufa kama mamaa yuko mbali kiuchumi

fikiria jinsi hata kwenye common society inavyokua ngumu watu ku-accept kwamba a woman may have more colors, utasikia ah jamaa yuko poa ila ni mama ndiye mwenye show na jamaa analishwa tu, au ansomeshwa na mkewe nk. being an african man inakua "ngumu kumeza" inapotokea mie ndo mdakaji

Its true JS kwamba the more successful you become ndipo unapopunguza choices za majamaa
 
Hawa wenye kisu inabidi uwe mjanja jinsi ya kudili nao....unamtumia kwa muda tu halafu unasepa. Ukiweka maskani kwa muda mrefu watakufanya mtumwa....ogopa sana hawa kina JS...

Hahahahaha mzee unatangaza njaa kabisa.
Angalia hawa wenye mkwanja huwa wanyanyasaji sana hawakawii kukutupia vilago.

Fidel mwaya usimsikilize NN wewe kama kuna demu umempenda mtokee tu na umuoe kama una nia hiyo
 
mimi siamini kabisa kama hiyo kauli yako inaukweli, mtu anaweza kukukatisha tamaa tu kuwa ukwa umejijenga sana wanaume watakuwa wanakuogopa.Si kweli ila unachotakiwa kuwa makini ni kuhakikisha mwanaume anayetangaza nia kwako awe na upendo wa dhati na sio upendo wa mafanikio yako.
Lakini kubwa zaidi ni hii tabia yenu wadada wa Kibongo kuona aibu ya kumwambia mwanaume unayevutiwa nawe ukweli kabla ya yeye kukutangazia nia (kama na yeye anavutiwaa na wewe)
If some man caught your eyes,heart & mind, u better go and tell him.
 
Atatumia pesa yake kama bakora kukuadhibu na kama ndo unaishi kwake dah unakuwa mtumwa nimeshuhudia jamaa zangu

sio wote wapo hivyo jamani, wengine wana mapenzi ya kweli...JS uckate tamaa kusaka mafaranga kisa utachelewa/wataogopa kukuoa....saka mafaranga kwa bidii zote utakutana na mwenzio anaekuona anafaa sio hawa wa kujishtukia.
 
Back
Top Bottom