Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
Hawa wenye kisu inabidi uwe mjanja jinsi ya kudili nao....unamtumia kwa muda tu halafu unasepa. Ukiweka maskani kwa muda mrefu watakufanya mtumwa....ogopa sana hawa kina JS...
Hapo komredi inatakiwa kumega na kulala mbele, alafu unamchuna kweli kweli huku ukiwekeza kwenu.