Mwanamke asiyejaliwa na Mume wake ni sawa na Nchi isiyotawalika


Naam
 
Ila hujasema tuzingatie lipi Sana Kati ya kutomuonea huruma au kumtunza nadhani unamaana kwa mke wa ndoa ni lazima kumtunza ila mademu TU tuendelee kuwakanyagia tusiwaonee huruma.
 
Ila hujasema tuzingatie lipi Sana Kati ya kutomuonea huruma au kumtunza....nadhani unamaana kwa mke wa ndoa ni lazima kumtunza ila mademu TU tuendelee kuwakanyagia tusiwaonee huruma

Yes ndivyo hivyo Mkuu.

Ila zingatia amri za Mungu pia
 
PAMOJA SANA mkuu
Ila hapo kwenye mitumba rekebisha mkuu me Nina pc yangu Kali nimeipata NImeipa hela ya rasta na leo nitainunulia lotion na body spray ila pia Kuna nguo za kike huwa nauza nachukua ilala majeje na vitop mixer vigauni vile vya ukweli nitampa.

Dukani Sina mpango wa kwenda Kaka nitafanya yaliyo ndani ya uwezo wangu
 
Kweli mkuu nchi imevaa sketi kama si dera lwa sasa. Kuna wanawake wengi sana wako vitengo na wana pesa balaa tatizo wamekosa mapenzi kutokana na wngi kuogopwa. Kwa hyo hata mm nilidhan m-tibeli 😄😄anatoa mbinu hzo za kupata na kuchakata papuchi za viwango😋😋
 
Kweli mkuu nchi imevaa sketi kama si dera lwa sasa. Kuna wanawake wengi sana wako vitengo na wana pesa balaa tatizo wamekosa mapenzi kutokana na wngi kuogopwa. Kwa hyo hata mm nilidhan m-tibeli 😄😄anatoa mbinu hzo za kupata na kuchakata papuchi za viwango😋😋
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…