Mwanamke atembea barabarani aanguka na kufa bonde la Msimbazi

Mwanamke atembea barabarani aanguka na kufa bonde la Msimbazi

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Sijui kama napaswa kuiandika hii. Watu wengine wataona labda siyo muhimu.

Lakini hii imetokea juzi. Huyu mwanamke alikuwa anatembea katika bonde la Msimbazi,pale kutoka Msimbazi Center kuelekea njia panda ya Kigogo,akaanguka akafa,mwenyewe tu, without any prodding.

Basi watu wakakasirika sana pale wakaweka mawe barabarani kuzuia gari zisipite,ili polisi wasimame ule mwili uondolewe pale.

Mimi nilikuwa naelekea Buguruni,nilipofika kule,nikawaeleza Polisi Buguruni,wakasema hiyo ni jurisdiction ya Msimbazi Polisi, lakini,habari zimefika tutawaeleza.

Hapa nadhani watu watajaribu kuwa very mysterious kuelezea chanzo cha kifo,lakini nadhani tatizo lilikuwa jua kali. Yule amepata sun stroke.
 
Sijui kama napaswa kuiandika hii. Watu wengine wataona labda siyo muhimu.

Lakini hii imetokea juzi. Huyu mwanamke alikuwa anatembea katika bonde la Msimbazi,pale kutoka Msimbazi Center kuelekea njia panda ya Kigogo,akaanguka akafa,mwenyewe tu, without any prodding.

Basi watu wakakasirika sana pale wakaweka mawe barabarani kuzuia gari zisipite,ili polisi wasimame ule mwili uondolewe pale.

Mimi nilikuwa naelekea Buguruni,nilipofika kule,nikawaeleza Polisi Buguruni,wakasema hiyo ni jurisdiction ya Msimbazi Polisi, lakini,habari zimefika tutawaeleza.

Hapa nadhani watu watajaribu kuwa very mysterious kuelezea chanzo cha kifo,lakini nadhani tatizo lilikuwa jua kali. Yule amepata sun stroke.
Sun stroke?
 
Sijui kama napaswa kuiandika hii. Watu wengine wataona labda siyo muhimu.

Lakini hii imetokea juzi. Huyu mwanamke alikuwa anatembea katika bonde la Msimbazi,pale kutoka Msimbazi Center kuelekea njia panda ya Kigogo,akaanguka akafa,mwenyewe tu, without any prodding.

Basi watu wakakasirika sana pale wakaweka mawe barabarani kuzuia gari zisipite,ili polisi wasimame ule mwili uondolewe pale.

Mimi nilikuwa naelekea Buguruni,nilipofika kule,nikawaeleza Polisi Buguruni,wakasema hiyo ni jurisdiction ya Msimbazi Polisi, lakini,habari zimefika tutawaeleza.

Hapa nadhani watu watajaribu kuwa very mysterious kuelezea chanzo cha kifo,lakini nadhani tatizo lilikuwa jua kali. Yule amepata sun stroke.
Watu humu duniani tunatembea na mengi mwilini.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]maake hapo kwanza nchekee
Sun stroke?

Yupo sahihi/ Sun stroke pia hujulikana kama heat stroke.

Heatstroke is a condition caused by your body overheating, usually as a result of prolonged exposure to or physical exertion in high temperatures. This most serious form of heat injury, heatstroke, can occur if your body temperature rises to 104 F (40 C) or higher. The condition is most common in the summer months.
 
Nani alithibitisha kuwa pale ameshakufa?.
 
Yupo sahihi/ Sun stroke pia hujulikana kama heat stroke.

Heatstroke is a condition caused by your body overheating, usually as a result of prolonged exposure to or physical exertion in high temperatures. This most serious form of heat injury, heatstroke, can occur if your body temperature rises to 104 F (40 C) or higher. The condition is most common in the summer months.
Ok sawa japo umegoogle ila umejitahidi ahsante
 
Back
Top Bottom