kiduku mpapaso
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 1,981
- 4,857
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nikizidisha kazi yangu nitasahau ujue[emoji2][emoji2][emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena cchimbo lao lipo moroo hiyo lugha wanayotumia inanichanganya
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nawasikilizaaga tu nabaki nashangaa jinsi gani wengine wanavyojua kuekti
Sent using Jamii Forums mobile app
Msema kweli mpenzi wa mungu sijawahi kuutumia huo mtandao ujue mm ninausikiaga tu wana
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena vijana wadogo wadogo wamekuwa wengiii alafu sadaka kumbe ni zaooo ndo mshahara loooh
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm mwenyewe saiv nimenogewa japo leo hakuna aliyeingia chakaa kutapeliwaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kipindi niko moshi alianza tu kikanisa cha ajabu eti siku hizo anabonge la kanisa hapa dar maaneo ya sinza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna cha kodi wala nn na kule watu wanapigwa kweli za usoNi bonge la dili halafu halafu sidhani kama wanatozwa kodi
Mm siwaelewi itakuwa kuna shule la unabii nguvu wanazopewa sizielewi
Sent using Jamii Forums mobile app