Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Write your reply...mademu wengi wa huko watakuwa wana ukimwi kuweni makini na cha kusikitisha wengi ni wachumba za watu wengine wamechumbiwa kabisa wengine wameolewa na majamaa hawajui

kuweni tu makini na uchaguzi wa wenza wenu siku hizi wanawake wamekuwa hatar sana
 
Hivi mabaharia kwa nini mademu wa badoo ni rahisi kutongozeka yaani wanakubali kirahisi ukiachana na wale Malaya waliojiweka wazi

Yaani ukiwapa maneno ya uongo wanaamini kabisa unaweza sema wanataka ela kutoka kwako yani wakufanye danga lakini unakuta hawapigi vizinga kabisaa na wengine wachache wakipiga ni vidogo sana mfano vochaa

Hivi ni kwa nn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…