Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Ni motoo
Screenshot_20191109-212043.jpeg
 
Hivi mabaharia kwa nini mademu wa badoo ni rahisi kutongozeka yaani wanakubali kirahisi ukiachana na wale Malaya waliojiweka wazi

Yaani ukiwapa maneno ya uongo wanaamini kabisa unaweza sema wanataka ela kutoka kwako yani wakufanye danga lakini unakuta hawapigi vizinga kabisaa na wengine wachache wakipiga ni vidogo sana mfano vochaa

Hivi ni kwa nn
 
Back
Top Bottom