Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Jamani saa kumi na mbili asubuhi mmeamkia huu uzi.

upweke noma.
 
Mkuu unafanyaje kujua location,? ni pm kama hutajali.
 
Sasa mbona hujatuma link kwa Baharia mkuu wa Atlantic Ocean huku pm!
 
Naona watu wanaangaika na suala la kuweka link hapa ni hivi telegram sio kama whatsapp unaweza kuweka jina sahihi la hilo group hapa then ukifungua App ya telegram unasearch hilo jina group linakuja huna haja ya kuweka link hapa upigwe ban bure. So dondosha jina la group hapa.
 
af mabaharia sio poa picha za madem wa telegram kuwaleta huku wao wanajiachia kule wanajua wapo safe so tuchakate puchi kimya kimya picha save kwenye simu yako usipost huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…