Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mkuu
nipe mbinu ya ku date na mwanamke hasiyekuwa na uhitaji wa pesa ya mwanaume.
 
Wakuu kuna App moja niliinstall jana nikapata demu akasema leo nimfuate Mbagala

Sasa nimeisahau jina. Sio Badoo wala sio Tinder. Kama kuna mtu anaijua App famous nyingine hapa TZ nikitajiwa jina naikumbuka
0652917497111
 
Serious question, hivi vibinti ni kawaida sana badoo. Wale wamama wa age 45 years kuendelea hua inakuaje huko? Wako badoo kwa malengo yapi hasa 🤔
 
Hata sijui nawaonaga tu mid 30s hadi late 30s ndo wengi 40 niwachache ila wengi wanadanganya umri ukimuona wa 25 ujue huyo 30


Ila ukwel wengi wanatafuta faraja ndo maana wanaandika pale chini ya profile lao for serious

Wanatafuta relationship

Ila 80% ya wadada ni commercial sex workers
Serious question, hivi vibinti ni kawaida sana badoo. Wale wamama wa age 45 years kuendelea hua inakuaje huko? Wako badoo kwa malengo yapi hasa [emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko hata wake za watu wapo wamejaa tuu.Kiufupi wengine wapo kutuchota akili midume na wapo pia matapeli wa kiume (tuma nauli,mama mgonjwa,naenda kijijini kwanza,simu yangu mbovu n.k).Nilipata moja sharti eti halitaki kuliwa na ndomu LAZIMA tukapime maambukizi.(Hahaha! Tulipima nilijipigia kama mara kadhaa,,,,ila naona kama linataka kunimiliki/control mara nitoke Badoo au nifute akaunti eti)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wateja wamepungua sana, mimi kuna mmoja alinianza mwenyewe bado tukapanga nikala tukaachana baada ya hapo kila mara ananitafuta eti kunisalimia na siku nyingine ananiambia nikiwa na chochote nimwambie tu hana shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaitwa badoo ivo ivo.... nikafanye yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo maana basi na wengi wameshakata tamaa ya mahusiano yanayo eleweka
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…