Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

kuna hilo linaitwa Clara Rwega linakaa Kibamba...picha linaanza kwanza linakwambia ulitumie nauli ya Bajaj ili lije likupe mwili wake ulifanye unavyotaka...
sasa ole wako ujishaue kutuma
Hayo madude Badoo ndiyo ofisi yao na wanapiga noti kweli kweli, ndiyo maana nimeleta uzi huu kuwakomboa vijana wetu ambao maujanja hawajajua.
 
Teh teh, 50K per goli. Hilo goli itabidi ulinywee mkuyati ili lichukue 1hr, at least litakuwa na 'value for money', otherwise ni hasara kama unapiga cha dk5.
Bei hyo Bado hujaomba discount Blaza
 
Haaaaaa.... Weka mshahara hapooo [emoji23][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3]
 
Sijawah tumia hiyo Badoo.Sjui nami nijarib mana nadhan kuna mambo mazur ati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…