Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

ulivyokuwa wapga alikuwa anasema yupo karbu na wewe au
Niliwasiliana nae muda mrefu hadi tukawa marafiki,yeye alikuwa A cty then akaja Dar by the way nilimpa ile hela kama kumsaidia rafiki mwenye shida kumbe mwenzangu ana malengo yake
 
Kuna mmoja aliniambia nimtumie pesa ya tax na nichukue chumba kabisa nimwambie aje guest gani na chumba namba ngapi, ile kutuma elfu ishirini tu akani sms kuwa hataweza kuja kwani yupo kwenye siku zake siku ya pili leo!
 
ha ha haaaaa, ngoja nikamuonyeshe mwafulani, afu wanapenda kwenda saloon haoooo, utadhani wanalala kwenye karakana. Kuna jamaa yangu alinisumbua nimkope 50 elfu aongezee kumleta mwanadada kutoka Mwanza kuja Dar, zilimtoka 250,000/=

Mwisho wa hadithi simu ikawa haipatikani aliporudi kwenye mtandao picha zimebadilishwa na sura nyingine. Alibaki hoi.
OOOhhhh! nitumie 50 elfu niingie saloon, kesho naanza safari, nitumie 70 elfu za nauli, kuna mafuta yangu huwa natumia sehemu za joto nitumie 25 elfu kudadadeki. kuja kushtuka 250,000/=.
Hivi huwa mmelogwa mkuu? Hahaaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mmoja aliniambia nimtumie pesa ya tax na nichukue chumba kabisa nimwambie aje guest gani na chumba namba ngapi, ile kutuma elfu ishirini tu akani sms kuwa hataweza kuja kwani yupo kwenye siku zake siku ya pili leo!
Kweli wanawake wanawala wanaume kipumbavu sana
 
Back
Top Bottom